Hivi ni kweli Msanii Darasa anakula unga?

Wewe unashangaa Darasa kula unga. Kwa nini usishangae Mwenyekiti wa Yanga na diwani wa Mbagala Yusuf Manji akila Unga
Akili za kijinga sana hizi... Unamfananisha Manji na Darasa????


Manji anakula unga grade 1 na balance diet, haumizi kichwa kwa stress za maisha.....


Akiamua kwenda kubadilisha damu ni dakika kumi tu anakwea pipa tofauti na huyo kijana wako, anaekula uga grade ya mwisho ule uchafu.....
 


Drugs ni drugs tu, haina grade one au grade ten. Au nani kakwambia balance diet inasaidia katika kuathirika na dawa za kulevya? Ingekuwa kama unavyofiria wewe basi tusingeona wakina Amy Winehouse wanakula. Maana wanakufa huku wanaacha mamilioni benki
 
Duhh kuwa star yahtaji ujasirii... mi nakula unga ata watu hawasemi,,,
 
Wewe inabidi ukaisaidie police....
 
Noma sana naona unakimbilia kwa watetezi wako mke wa darasa
Uyu alizoea Facebook atalambwa ban ad heshima irud

Jinga sana uyu bwana tabia za kinyerez anazileta jamii forum

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Anapenda sanaaa ugali dagaaa na kachumbali...unga wa sembe
 
Ndo mnavyojidanganya baada ya kubwia ee!
 
Tusiish kwa maneno ya maono . How sure you are , Give us evidences tukuelewe . Kwanza upo Moro ...Hzo story za kujifurahishaa tu mtaan
 
Hata Nanii mkubwa anakula unga tu,alifukuza wapishi wote WA baga
 
mi mwenyewe nakula unga ila wa dona tu sembe situmi
 
Vijana wengi wa Gomz wanakula unga wakiongozwa na yeye ndo maana kapotea kwenye Raman hivi sasa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…