Hivi ni kweli Msanii Darasa anakula unga?

Hivi ni kweli Msanii Darasa anakula unga?

Jamaa unamjua kiundani sana itakuwa ww ni dada yake darasa au mke Mdogo maana unamkandia mke alienate

Sikujua kama happy anamjua darasa kiundani hivi
Kwani kumjua darasa ni dhambi?

We punga usiniltee tabia za kinyrezi

mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
 
Kuna mtu anaitwa Muda huyu ndio husema ukweli ni vyema tuna msubiri.......
Kweli kabisa. Ila nilivyomuona tu kwa mara ya kwanza nilijisemea moyoni kuwa huyu ni unga. Akiwa hatumii itakuwa ajabu sana. Halafu mara nyingi yeye anasikia baridiii tuu (hupenda makoti koti --na joto la Dar jamani!). Vijana hawa, sijui ni makundi?!!
 
pole sana darasa nilikuwa nahisi vitu viwili kati ya hivi unga au anatumia sana bangi au ni mnywa viroba kwa wingi maana sio rahisi kwa sura ile
 
Kweli kabisa. Ila nilivyomuona tu kwa mara ya kwanza nilijisemea moyoni kuwa huyu ni unga. Akiwa hatumii itakuwa ajabu sana. Halafu mara nyingi yeye anasikia baridiii tuu (hupenda makoti koti --na joto la Dar jamani!). Vijana hawa, sijui ni makundi?!!
Nimejaribu kuangalia clip Clouds tv akitambulishwa pale Morogoro kwakweli nami nimestuka nilivyo muona japo Darasa hakuwai kuwa mnene lakini nilibidi nikumbuke thread yako ...Darasa ni kama kakonda zaidi....
Muda husema..
 
Back
Top Bottom