Hivi ni kweli Mtumishi wa Serikali mfano Mwanajeshi akifariki mshahara wake unaendelea kuingia?

Hivi ni kweli Mtumishi wa Serikali mfano Mwanajeshi akifariki mshahara wake unaendelea kuingia?

Ila kuna mambo mengi sana tunadanganyana huku kitaani kuhusu kazi ya jeshi.Juzi kati nipo kijiweni kuna jamaa anawaambia wenzie eti wanajeshi wanajipangia tu katika hii nchi hata wakitaka mishahara yao ya mwaka zima wapewe kwa mara moja, wanapewa.[emoji23]

5/5
Hahahahahaha dah matango pori sio poa kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wanajeshi hawana bima hilo la kwanza la pili ikitokea amekufa akiwa bado kazini inahisabiwa amekatisha mkataba hvy basi familia au mrithi wake watapewa mshahara wa Mareham kwa miezi sita yote kwa pamoja so hapo jeshi watakua wamemalizana na wafiwa. mfano Mareham alikuwa anapokea laki 7 kwa mwezi basi piga hiyo mara sita ndo pesa atakayepigana mrithi ambaye anaweza kua mtu yeyote ambaye yeye aliandika kama mrithi, na pia ikitokea muda wa kusataafu ukifika ila yeye akaongeza miaka hua inakua miwili kuongeza na bahati mbaya kwenye hiyo miaka miwili akafa basi napo itahisabiwa amekatisha mkataba hvy hatopewa pension yake ambayo alitakiwa kupewa asingeongeza mkataba. Nadhani kdg umenielewa ukiwa na swali uliza

Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app

Aiseeh hatari ! So kama anakufa na miaka 55 hivi pension wanapewa?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ila kuna mambo mengi sana tunadanganyana huku kitaani kuhusu kazi ya jeshi.Juzi kati nipo kijiweni kuna jamaa anawaambia wenzie eti wanajeshi wanajipangia tu katika hii nchi hata wakitaka mishahara yao ya mwaka zima wapewe kwa mara moja, wanapewa.[emoji23]

5/5
😁😁😁😁😁 du!
 
Hivi ni kweli mtumishi wa serikali mfano mwanajeshi akifariki mshahara wake unaendelea kuingia? Na kama unaingia ni kwa muda gani?

Vipi kuhusu bima pia nayo inaendelea?

Hiyo ni kwa waliofariki 1995 kurudi nyuma.

Msaada tafadhali

====
Pia serikali hii imefuta ule utaratibu kwamba mstaafu akifariki, mjane wake anaendelea kupokea pensheni.
Mstaafu akifariki, na pensheni inasitishwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu wanajeshi hawana bima hilo la kwanza la pili ikitokea amekufa akiwa bado kazini inahisabiwa amekatisha mkataba hvy basi familia au mrithi wake watapewa mshahara wa Mareham kwa miezi sita yote kwa pamoja so hapo jeshi watakua wamemalizana na wafiwa. mfano Mareham alikuwa anapokea laki 7 kwa mwezi basi piga hiyo mara sita ndo pesa atakayepigana mrithi ambaye anaweza kua mtu yeyote ambaye yeye aliandika kama mrithi, na pia ikitokea muda wa kusataafu ukifika ila yeye akaongeza miaka hua inakua miwili kuongeza na bahati mbaya kwenye hiyo miaka miwili akafa basi napo itahisabiwa amekatisha mkataba hvy hatopewa pension yake ambayo alitakiwa kupewa asingeongeza mkataba. Nadhani kdg umenielewa ukiwa na swali uliza

Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
Inakuwaje hii? Mwanajeshi akifa considered kasitisha mkataba? Vipi kuhusu Mafao yake?
 
Back
Top Bottom