Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nchi ipo kisheria, na hakuna aliye juu ya sheria.
Hakuna kampuni ya bima Duniani yaweza mkatia bima Askari
Kazi Yake Ni ya risasi
Hahahahahaha dah matango pori sio poa kabisaIla kuna mambo mengi sana tunadanganyana huku kitaani kuhusu kazi ya jeshi.Juzi kati nipo kijiweni kuna jamaa anawaambia wenzie eti wanajeshi wanajipangia tu katika hii nchi hata wakitaka mishahara yao ya mwaka zima wapewe kwa mara moja, wanapewa.[emoji23]
5/5
Mkuu wanajeshi hawana bima hilo la kwanza la pili ikitokea amekufa akiwa bado kazini inahisabiwa amekatisha mkataba hvy basi familia au mrithi wake watapewa mshahara wa Mareham kwa miezi sita yote kwa pamoja so hapo jeshi watakua wamemalizana na wafiwa. mfano Mareham alikuwa anapokea laki 7 kwa mwezi basi piga hiyo mara sita ndo pesa atakayepigana mrithi ambaye anaweza kua mtu yeyote ambaye yeye aliandika kama mrithi, na pia ikitokea muda wa kusataafu ukifika ila yeye akaongeza miaka hua inakua miwili kuongeza na bahati mbaya kwenye hiyo miaka miwili akafa basi napo itahisabiwa amekatisha mkataba hvy hatopewa pension yake ambayo alitakiwa kupewa asingeongeza mkataba. Nadhani kdg umenielewa ukiwa na swali uliza
Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
😁😁😁😁😁 du!Ila kuna mambo mengi sana tunadanganyana huku kitaani kuhusu kazi ya jeshi.Juzi kati nipo kijiweni kuna jamaa anawaambia wenzie eti wanajeshi wanajipangia tu katika hii nchi hata wakitaka mishahara yao ya mwaka zima wapewe kwa mara moja, wanapewa.[emoji23]
5/5
Pia serikali hii imefuta ule utaratibu kwamba mstaafu akifariki, mjane wake anaendelea kupokea pensheni.Hivi ni kweli mtumishi wa serikali mfano mwanajeshi akifariki mshahara wake unaendelea kuingia? Na kama unaingia ni kwa muda gani?
Vipi kuhusu bima pia nayo inaendelea?
Hiyo ni kwa waliofariki 1995 kurudi nyuma.
Msaada tafadhali
====
Haa kumbe sasa kwanin
Duh!!Kwao kufa ni dakika 0.
Ni sawa na kuibetia yanga mbovu kwa kagera sugar muda wowote anachana mkeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]watu wa bima Wana mahesabu ya mbali Sana.Hakuna kampuni ya bima Duniani yaweza mkatia bima Askari
Kazi Yake Ni ya risasi
Inakuwaje hii? Mwanajeshi akifa considered kasitisha mkataba? Vipi kuhusu Mafao yake?Mkuu wanajeshi hawana bima hilo la kwanza la pili ikitokea amekufa akiwa bado kazini inahisabiwa amekatisha mkataba hvy basi familia au mrithi wake watapewa mshahara wa Mareham kwa miezi sita yote kwa pamoja so hapo jeshi watakua wamemalizana na wafiwa. mfano Mareham alikuwa anapokea laki 7 kwa mwezi basi piga hiyo mara sita ndo pesa atakayepigana mrithi ambaye anaweza kua mtu yeyote ambaye yeye aliandika kama mrithi, na pia ikitokea muda wa kusataafu ukifika ila yeye akaongeza miaka hua inakua miwili kuongeza na bahati mbaya kwenye hiyo miaka miwili akafa basi napo itahisabiwa amekatisha mkataba hvy hatopewa pension yake ambayo alitakiwa kupewa asingeongeza mkataba. Nadhani kdg umenielewa ukiwa na swali uliza
Sent from my SM-N910H using JamiiForums mobile app
Dada mmoja wp si useme ukweli tu kama manyoya!Kuna Dada mmoja anatoka na mwanajeshi siku si nyingi anaweza akaolewa.... Basy Kuna story Moja alinipa ya msoja aliyekufa kwa ajali nampunga familia yake uliyo vuta baada ya kifo kumbe yote ile ilikua chai dah!!!
Sent using Jamii Forums mobile app