Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Kuna Dada mmoja anatoka na mwanajeshi siku si nyingi anaweza akaolewa.... Basy Kuna story Moja alinipa ya msoja aliyekufa kwa ajali nampunga familia yake uliyo vuta baada ya kifo kumbe yote ile ilikua chai dah!!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa uyo hakufia kwenye mission. Alipata tuu ajaliitakua sio chai, wale wanaofia kwenye mission za UN lazima wapewe mkwanja mrefu
Sent from my iPhone using JamiiForums
Manyoya Nini kiongozi???D
Dada mmoja wp si useme ukweli tu kama manyoya!
Ooooh!! Basy sawaandio hata ajali mkwanja ni mrefu, imagine wanaorudi hawajaumia hupewa pesa ndefu vipi kwa anayeumia
Sent from my iPhone using JamiiForums
Swali zurikwahiyo hata bima ya afya hawana?
Huna adabuKwao kufa ni dakika 0.
Ni sawa na kuibetia yanga mbovu kwa kagera sugar muda wowote anachana mkeka.
Sent using Jamii Forums mobile app
kwani wanashindwa? si ndio maana wakaitwa wanajeshiIla kuna mambo mengi sana tunadanganyana huku kitaani kuhusu kazi ya jeshi.Juzi kati nipo kijiweni kuna jamaa anawaambia wenzie eti wanajeshi wanajipangia tu katika hii nchi hata wakitaka mishahara yao ya mwaka zima wapewe kwa mara moja, wanapewa.[emoji23]
5/5
😂😂😂🤣Ila kuna mambo mengi sana tunadanganyana huku kitaani kuhusu kazi ya jeshi.Juzi kati nipo kijiweni kuna jamaa anawaambia wenzie eti wanajeshi wanajipangia tu katika hii nchi hata wakitaka mishahara yao ya mwaka zima wapewe kwa mara moja, wanapewa.[emoji23]
5/5
Haiwezekani.Hakuna aliyejuu ya sheria.kwani wanashindwa? si ndio maana wakaitwa wanajeshi
Sent from my SM-J701F using JamiiForums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila kuna mambo mengi sana tunadanganyana huku kitaani kuhusu kazi ya jeshi.Juzi kati nipo kijiweni kuna jamaa anawaambia wenzie eti wanajeshi wanajipangia tu katika hii nchi hata wakitaka mishahara yao ya mwaka zima wapewe kwa mara moja, wanapewa.[emoji23]
5/5
Utajuaje aliye comment ni mwanajeshi?
Itakuwa watu wa mifumo ndo wanakula huo mshahara vipi lakini mlifanikiwa Kupata hayo maokoto ya mirathi..?Swala la mishahara mda mwingne huwa lina janja janja nyingi mfano mi bi mkubwa alikuwa mwalimu kagera akafariki 1996 ila tulipokuja kufatilia mirathi 2014 hadhina tulikuta yupo hai na mshahara alikuwa anapokea kama kawaida had 2009 na wanatwambia alikuwa anapokelea dodoma. Sasa hapo ndio jiulize ni nan aliekuwa anapokea huo mshahara na ss mhusika tuliisha zika na tangazo la kifo tunalo toka 96.
Askari wanawez kufa ata 1000 ndan ya wiki bima kwa mara moja ku refund familia kwa harak watu Weng hvyo n ngumuHaa kumbe sasa kwanin
TulipataItakuwa watu wa mifumo ndo wanakula huo mshahara vipi lakini mlifanikiwa Kupata hayo maokoto ya mirathi..?