Hivi ni kweli nampenda au nataka kulipa kisasi?

Hamna mapenzi hapo, we check ustaarabu mwingine. hayo ni matatizo tupu!
 
Kama amekataa na anakuambia mambo ya ajabu namna hiyo achana nae,usilazimishe mapenzi wala usiombe kupendwa!!
 
Pole
Mwenzie kasha kutema siku mingi..
Anakuzuga tuu hapo... fuata ushauri wa Gaga
Rudi shule na wewe...
 
Mshukuru Mungu amekwambia ukweli kuliko angekupanga foleni. Hapo inabidi ujue dada ameshampa moyo wake mtu mwingine. Maana kama mlishakuwa wapenzi did you need to approach her again??? Haya mambo ni ya kawaida ni wachache wanaokuwa na mpenzi mmoja maisha. Na ni obvious mapenzi uvunjwa na mmoja wa wapendanao. Kwa hiyo wewe kaka si wa kwanza wala wa mwisho kuachwa. Na alichofanya huyo dada wala si cha hajabu ni maisha tu wala si wa kulaumiwa. Akikubali ombia lako maanake ujue kuna jamaa mwingine anakuwa cheated let her move on with her life na wewe vivo hivyo.
 

Mliachana 2002.
Mkatakuta 2008 ukamwambia unampenda akasema umpe muda.
Leo ni katikati ya 2011 na bado unasubiri jibu kwa zaidi ya miaka miwili?
Na wewe umejindeleza kielimu au uliishia form four tuu?
Una kazi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…