Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
Kuna malalamiko yamekuwa yakisambaa kitambo sasa, binafsi kuna siku nilitoka mahakamani nikawa kwenye lunch na mawakili kadhaa, miongoni mwao walikuwepo wa DPP. Nikachomeka, ati mbona kila mkeka wa majaji hatuoni mawakili wa DPP,(niliongea kwa kebehi tu nione mawakili wa serikali tulikua nao pale watasemaje) jamaa waliongea kwa uchungu sana, wanaamini Samia amewablacklist. Tuliwacheka kwelikweli. Nakumbuka kuna mwaka Tundu Lisu aliwahi kuambiwa na magufuli kuwa hatateuliwa ujaji, TL lisema, hata akiteuliwa hatakubali kwasababu ni kazi ya utumwa, ila hawa jamaa wana uchungu kabisa na wanaamini wamekuwa blacklisted.
binafsi, siwaonei huruma, kama ni kweli, wacha tu wasote pengine kuna siku akili zao zitafunguka, wakajua uthamani wao na namna Mungu anavyotaka wafanye kazi. naongea hivi kwasababu zifuatazo:
1. Hii ni ofisi ambayo ccm wameitumia miaka mingi sana kama silaha ya kushindia uchaguzi. kamata kamata na shitakishitaki hawa jamaa wanatumiwa sana kinyume na haki.
2. Tulimwambia yule wakili kwamba, akubali tu kwamba mawakili wa DPP siku zote hutumiwa kama instrument kwa ajili ya wengine kupanda, ila wao wanaachwa palepale hadi uchaguzi mwingine. hivi, mtakuwa ngazi za wengine kufanikiwa hadi lini? na wakifanikiwa hawawakumbuki. .
3. Jifunzeni, SAMIA tangu aingie, ameteua majaji wangapo toka ofisi ya DPP? zero. wala hakuna ukurugenzi, urasi au uchochote, ila tukikutana mahakamani mnavyotukamia utafikiri mnapata chochote. juzi tumetoka mahakamani tunapata lunch sehemu na mmoja wenu, hadi anazuga tumlipie bill, mara zote analalamika ati Samia amewadis hawateui ujaji, awateue ujaji halafu nani awe anatumiwa kama fimbo kuchapia wengine, ninyi si ndio mmeamua kuwa hivyo? mnataka ujaji wa nini wakati matumizi yenu ninyi ni kipigio cha wengine? heshima yenu ndio hiyo.
4. Mwakani ni uchaguzi, fungukeni akili, ifuateni haki, mwogopeni Mungu, msitumiwe, narudia tena msitumiweeee. mjue kuwa, ccm wakiwatumia kama bablish kunyanyasa wapinzani, wakishashinda, watawaweka kwenye dustbin hadi uchaguzi wa 2030 ndio mtakumbukwa tena. mishahara yenu itabaki vilevile, na mtaendelea kudharaulika hivyo hivyo. mnataka hadi malaika ashuke toka mbinguni aje awaambie kuwa ninyi huwa mnatumika tu na hawaoni kama mna faida yeyote zaidi ya hiyo?
Ni hayo tu.
binafsi, siwaonei huruma, kama ni kweli, wacha tu wasote pengine kuna siku akili zao zitafunguka, wakajua uthamani wao na namna Mungu anavyotaka wafanye kazi. naongea hivi kwasababu zifuatazo:
1. Hii ni ofisi ambayo ccm wameitumia miaka mingi sana kama silaha ya kushindia uchaguzi. kamata kamata na shitakishitaki hawa jamaa wanatumiwa sana kinyume na haki.
2. Tulimwambia yule wakili kwamba, akubali tu kwamba mawakili wa DPP siku zote hutumiwa kama instrument kwa ajili ya wengine kupanda, ila wao wanaachwa palepale hadi uchaguzi mwingine. hivi, mtakuwa ngazi za wengine kufanikiwa hadi lini? na wakifanikiwa hawawakumbuki. .
3. Jifunzeni, SAMIA tangu aingie, ameteua majaji wangapo toka ofisi ya DPP? zero. wala hakuna ukurugenzi, urasi au uchochote, ila tukikutana mahakamani mnavyotukamia utafikiri mnapata chochote. juzi tumetoka mahakamani tunapata lunch sehemu na mmoja wenu, hadi anazuga tumlipie bill, mara zote analalamika ati Samia amewadis hawateui ujaji, awateue ujaji halafu nani awe anatumiwa kama fimbo kuchapia wengine, ninyi si ndio mmeamua kuwa hivyo? mnataka ujaji wa nini wakati matumizi yenu ninyi ni kipigio cha wengine? heshima yenu ndio hiyo.
4. Mwakani ni uchaguzi, fungukeni akili, ifuateni haki, mwogopeni Mungu, msitumiwe, narudia tena msitumiweeee. mjue kuwa, ccm wakiwatumia kama bablish kunyanyasa wapinzani, wakishashinda, watawaweka kwenye dustbin hadi uchaguzi wa 2030 ndio mtakumbukwa tena. mishahara yenu itabaki vilevile, na mtaendelea kudharaulika hivyo hivyo. mnataka hadi malaika ashuke toka mbinguni aje awaambie kuwa ninyi huwa mnatumika tu na hawaoni kama mna faida yeyote zaidi ya hiyo?
Ni hayo tu.