Samatta si alikuwa High court Zimbabwe??Prof Juma ameiua Mahakama. Saivi Mahakama Mahakimu wanataka kuondoka kila siku.
Yeye amekalia Tehama na Majengo tu hajali kabisa kuhusu misingi ya Mahakama kikatiba na maslahi ya watumishi wa Mhimili huu.
Saivi Mahakama inachezewa tu na wanasiasa.
Shida nyingine Wanasiasa wamejaza watu wengi ambao wametoka nje ya mfumo wa Mahakama ambao hawajui misingi ya kikatiba kubusu Mahakama.
Kwenye nchi zilizoendelea Mahakama ndo Mhimili unaowafunga speed governor wanasiasa na watawala. Na Wanasiasa na Watawala wanauogopa kweli Mhimili wa Mahakama maana wanajua huo ndo mhimili unaowawekea mipaka na kuweza kuwapeleka jela pale watakapokosea.
Kuhusu Mawakili wa DPP kutoteuliwa kuws Majaji sioni kama ni tatizo kubwa. Moja ya Mambo yaliyosababisha hadi morali ya ka,I kupungua kwa watumishi wa Mahakama ni kupata viongozi waliotoka nje ya mfumo wa Mahakama ambao hawajui shida zao.
Kwa kipindi kirefu sana Majaji Wakuu wamekuwa wakitoka nje ya mfumo wa Mahakama hivyo hawajali shida za Mahakamu na watumishi wa chini. Majaji Wakuu ambao walitoka nje ya mfumo wa Mahakama na wakajali maslahi ya watumishi wa chini ni Samata na Ramadhani tu. Wengine hawa wamekuwa puppets wa Serikali ambao wame frustrate sana watumishi wa Mahakama.
Samatta alikuwa DPP kabla ya kuteuliwa kuwa Jaji. Ila aliteuliwa kuwa Jaji akiwa mdogo sana hivyo akakaa sana kwenye mhimili wa Mahakama.Samatta si alikuwa High court Zimbabwe??
Bregedia si Mahakama ya Jeshi na Tume ya Vyama Vingi . Ni Prof Tu ndio hajakulia kwenye mahakama
nadhani kwa kawaida, huwa wana balance, wanatoa mahakimu wengi kuwa majaji, wanafuatia prictising lawyers kama mawakili wa kujitegemea, then kuna wengine mawakili toka ofisi ya DPP, Solicitor general na AG kwa ujumla, then wanaanza kuchukua mawakili ambao ni waalimu wa vyuo toka vyuo mbalimbali.Samatta alikuwa DPP kabla ya kuteuliwa kuwa Jaji. Ila aliteuliwa kuwa Jaji akiwa mdogo sana hivyo akakaa sana kwenye mhimili wa Mahakama.
Jaji Ramadhani aliteuliwa kutoka Jeshini. Ila at least hawa walijali sana mhimili wa Mahakama hasa kulinda misingi yake na kujali watumishi wakiwa Majaji Wakuu
Hao jamaa makauzu kweli,ila wanaongeka vizuri sana.Kuna malalamiko yamekuwa yakisambaa kitambo sasa, binafsi kuna siku nilitoka mahakamani nikawa kwenye lunch na mawakili kadhaa, miongoni mwao walikuwepo wa DPP. Nikachomeka, ati mbona kila mkeka wa majaji hatuoni mawakili wa DPP,(niliongea kwa kebehi tu nione mawakili wa serikali tulikua nao pale watasemaje) jamaa waliongea kwa uchungu sana, wanaamini Samia amewablacklist. Tuliwacheka kwelikweli. Nakumbuka kuna mwaka Tundu Lisu aliwahi kuambiwa na magufuli kuwa hatateuliwa ujaji, TL lisema, hata akiteuliwa hatakubali kwasababu ni kazi ya utumwa, ila hawa jamaa wana uchungu kabisa na wanaamini wamekuwa blacklisted.
binafsi, siwaonei huruma, kama ni kweli, wacha tu wasote pengine kuna siku akili zao zitafunguka, wakajua uthamani wao na namna Mungu anavyotaka wafanye kazi. naongea hivi kwasababu zifuatazo:
1. Hii ni ofisi ambayo ccm wameitumia miaka mingi sana kama silaha ya kushindia uchaguzi. kamata kamata na shitakishitaki hawa jamaa wanatumiwa sana kinyume na haki.
2. Tulimwambia yule wakili kwamba, akubali tu kwamba mawakili wa DPP siku zote hutumiwa kama instrument kwa ajili ya wengine kupanda, ila wao wanaachwa palepale hadi uchaguzi mwingine. hivi, mtakuwa ngazi za wengine kufanikiwa hadi lini? na wakifanikiwa hawawakumbuki. .
3. Jifunzeni, SAMIA tangu aingie, ameteua majaji wangapo toka ofisi ya DPP? zero. wala hakuna ukurugenzi, urasi au uchochote, ila tukikutana mahakamani mnavyotukamia utafikiri mnapata chochote. juzi tumetoka mahakamani tunapata lunch sehemu na mmoja wenu, hadi anazuga tumlipie bill, mara zote analalamika ati Samia amewadis hawateui ujaji, awateue ujaji halafu nani awe anatumiwa kama fimbo kuchapia wengine, ninyi si ndio mmeamua kuwa hivyo? mnataka ujaji wa nini wakati matumizi yenu ninyi ni kipigio cha wengine? heshima yenu ndio hiyo.
4. Mwakani ni uchaguzi, fungukeni akili, ifuateni haki, mwogopeni Mungu, msitumiwe, narudia tena msitumiweeee. mjue kuwa, ccm wakiwatumia kama bablish kunyanyasa wapinzani, wakishashinda, watawaweka kwenye dustbin hadi uchaguzi wa 2030 ndio mtakumbukwa tena. mishahara yenu itabaki vilevile, na mtaendelea kudharaulika hivyo hivyo. mnataka hadi malaika ashuke toka mbinguni aje awaambie kuwa ninyi huwa mnatumika tu na hawaoni kama mna faida yeyote zaidi ya hiyo?
Ni hayo tu.
unamaanisha wanahongeka?Hao jamaa makauzu kweli,ila wanaongeka vizuri sana.
of course, haki ni ya Mungu, na kwa Mungu wetu haki yakaa ndani yake. akiwa mbinguni huangalia haki ipo wapi, na wapi haki inavunjwa ili ashuke kutetea anayeonewa. na mwanadamu yeyote anayemwogopa Mungu, lazima awe mtu wa kufuata haki bila kupindisha.Justice resides not only in the courts but also in us, for justice begins with each of us striving to do the right thing.
huyu amefanya nini tena?Biswalo Maganga
Tuache majungu,simjui huyo mahtmaa ila naamin ana qualification, kama ana connection why not, mana nowdays bila connection chukulia mfano utumish kule wanatumia miez mpaka 8 kukujib baruaYes......yeye ndiye kingpin wa Judicial Service Commission ambayo ndio inapeleka majina ya wateule wa ujqji kwa Rais. Kuna kipindi JPM aliichana orodha waliyompelekea akateua upya. Majina waliyomjazia yalikuwa ya wajomba, shangazi, rafiki, ndugu, wa watu wa Mahakama, ila mmoja alipenya, Jaji Matma, ndugu wa karibu wa Jaji Mkuu.
Kwa Afrika Mashariki, Mahakama ipo Kenya. Tanzania ni watu waliovaa magauni mekundu.Tanzania hakuna mahakama bali Majengo yenye jina la Mahakama.
Huyu walimtoa kumpa kinga ya dhambi alizowatendea watu akiwa DPP. Kuna watu wanamtafuta Biswalo wakimkamata wanamla akiwa mbichi. Amewatendea watu unyama mkubwa ashukuru cheo cha ujaji kinampa kinga na ana ulinzi.Biswalo Maganga
Alikuwa DPP kwa Sasa ni Judgehuyu amefanya nini tena?
and so what?Alikuwa DPP kwa Sasa ni Judge
Kangaroo CourtsTanzania hakuna mahakama bali Majengo yenye jina la Mahakama.