Hivi ni kweli ofisi za NIDA zimefungwa?

Hivi ni kweli ofisi za NIDA zimefungwa?

Leo nilikwenda ofisi za NIDA Pwani pale Kibaha. Ili uingie NIDA inabidi kuanzia uhamiaji. Sasa ile nimefika uhamiaji wakaniambia NIDA hawafanyi kazi kisa KORONA. hebu wadau huko mliko NIDA wamefunga ofisi??
Huku Moshi mjini watoto wameenda wiki iliyopita wakarudishwa na kuambiwa ofisi wamefunga. Sasa siju Kama wahusika wakuu wanajua?
 
Back
Top Bottom