Hivi ni kweli Tanzania kulikuwa na msanii mmoja tu wa maigizo?

Hivi ni kweli Tanzania kulikuwa na msanii mmoja tu wa maigizo?

si mlimcheka sana English yake kwenye Big Brother.... akawaambia labda siku akifa mtaujua mchango wake

Tujifunze kuwapa watu heshima yao wakiwa hai... leo tuna Dimond kuna watu wanamkandia kila kukicha ila wanasubiri wampe heshima yake baada ya Kifo..smh
 
Binadamu wengi tupo hivyo nikikumbuka ni wachache sana waliosemwa kwa ubaya wao nikianzia na sani abacha lakini wengine watapakwa mafuta mpaka unashangaa.
maisha bila unafiki hayaendi!
Yaani wanaacha kukusifia ukiwa hai ngoja Ufe jamani looh!sijui walikua wapi siku zote!!
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] asante umenichekesha

Sent from my itel it1507 using JamiiForums mobile app
 
Tuna chuki za ndani kwa ndani dhidi ya mafanikio ya watu!
Sana ndo mana hatuendelei, Kazi kugombanisha wasanii, hata huyo kanumba kabla hajafa kuna watu walikuw wanawapambanisha na ray ili mradi tu wasielewane, na hii ya diamond na ally kiba am very sure ni watz ndo wanakuza beef zao na ikitokea mmoja katangulia ( hatuombi itokee ila itakuwa coz huko ndo makaz yetu ya milele) utaona watu watakapoanza kuwamwagia sifa, hata yule aliyekuwa team pinzani.. Watz tuna unafiki mwingi mioyoni mwetu
 
Wazur hufa mapema ,hata baada ya kanumba akawa anakuja ADAM KUAMBIANA nae kapotea jaman wamebaki hwa wanao wagawa mashabiki then cd zikiwa hazitoki wanashangaa wanasahau walishajitambulidha wao ni ccm!.
Wtz walio wengi wana aleji na ccm watanunua cd zao?
 
Sana ndo mana hatuendelei, Kazi kugombanisha wasanii, hata huyo kanumba kabla hajafa kuna watu walikuw wanawapambanisha na ray ili mradi tu wasielewane, na hii ya diamond na ally kiba am very sure ni watz ndo wanakuza beef zao na ikitokea mmoja katangulia ( hatuombi itokee ila itakuwa coz huko ndo makaz yetu ya milele) utaona watu watakapoanza kuwamwagia sifa, hata yule aliyekuwa team pinzani.. Watz tuna unafiki mwingi mioyoni mwetu
Maneno yako yamenikunbusha maisha na msiba wa Mzee Jumbe. Ndio watz tulivo. Hadi ktk siasa.
 
Sanaa Tanzania ni danguro na genge la wahuni ukitaka dada yako kila siku akatwe mruhusu tu kuigiza
Na ushahidi mzuri tu yule babu Jengua anawakata watoto wadogo tu.

Funguka vizuri mkuu!
 
Back
Top Bottom