Hivi ni Kweli waathirika wa ukimwi wanaweza kujifungua Mtoto asie na maambukizi na Mtoto huyo akakua vizuri

Ila ni miezi sita , na sio zaidi ya hapo.kwani baada ya hapo haishauliwi kwani akianza kuota meno, anaweza akang'ata chuchu za mama na kuweza kupata maambukizi, kupitia damu.
Si kweli.
Usahihi:
Ananyonyesha maziwa tu (bila kumpa kitu kingine chochote- kwa miezi 6), halafu baada ya miezi 6, anaanza kumchanganyia na chakula kingine hadi mtoto anapofikisha umri wa miaka miwili, anamuachisha kabisa ziwa.
 
Si kweli.
Usahihi:
Ananyonyesha maziwa tu (bila kumpa kitu kingine chochote- kwa miezi 6), halafu baada ya miezi 6, anaanza kumchanganyia na chakula kingine hadi mtoto anapofikisha umri wa miaka miwili, anamuachisha kabisa ziwa.
Wewe unazungumzia utaratibu wa kila mtoto mchanga anapozaliwa ni lazima atumie maziwa ya mama tu bila kulishwa kitu kingine..kwa muda wa miezi 6, ila baada ya hapo anaanza kulishwa vyakula vingine, huku akiendelea kunyonya hadi miaka 2.Lakini kama mama ni muathirika atamnyonyesha kama kawaida kwa miezi 6, baada ya hapo haishauriwi tena kumnyonyesha maziwa, bali ni kumpa vyakula vingine tu.Nina jua ninalolisema
 
Baada ya exclusive breastfeeding ya miezi 6, anaendelea kumnyonyesha na kumpa chakula kingine hadi mtoto anapofikisha umri wa mwaka mmoja.... Ndo guideline yetu ya Tanzania inavyosema mkuu
 
Ila ni miezi sita , na sio zaidi ya hapo.kwani baada ya hapo haishauliwi kwani akianza kuota meno, anaweza akang'ata chuchu za mama na kuweza kupata maambukizi, kupitia damu.
kwani mtoto anavidonda mdomoni , vitapitaje kwenda kwenye damu ya mtoto, otherwise Kuna kitu tumefichwa kuhusu VVU
 
UKIMWI NI UGONJWA BANDIA KWA AJILI YA PROJECTS ZA WATU.

MNATAKIWA KUELEWA HILO KUANZIA SASA.
Huwa natamani nijue HOW, maana nimeona mtoto mdogo less than 5 years akifariki kwa Ukimwi wa kurithi, nina direct interactions na watu wenye VVU, si mmoja wala wawili na wanakunywa dawa kama part ya maisha yao.
Huu ukimwi ni FAKE HOW ,

Ni fake au man made kwa sababu hivi ni vitu viwili tofauti. Unaweza nambia ni man made nikakubali lakini ni BANDIA, itabidi unipe clarification Godzillah
 
Wengi mbona? Mama mdogo wangu alikufa kwa HIV lakini alimwacha mtoto wa kiume akiwa ananyonya! Sasa hivi ni mbaba ana mke na watoto na yuko safi kabisa.
 
NIMETUMIA NENO UKIMWI KWA SABABU WENGI NDIVYO WALIVYOKARIRISHWA. NENO SAHIHI NI VVU.

NI HIVI, MTU YEYOTE ANAWEZA KUFA KWA UKIMWI, MAANA UKIMWI NI UPUNGUFU WA KINGA MWILINI AMBAO UNAWEZA UKASABABISHWA NA MAMBO MENGI IKIWEMO LIISHE DHAIFU.

LAKINI KITU KINACHOITWA VVU AU HIV HAKIPO NA HAKIJAWAHI KUWEPO.

WANASAYANSI WA MAGHARIBI WALITUMIA ADVANTAGE YA MARADHI YA UKIMWI KUUDANGANYA ULIMWENGU KWAMBA UKIMWI UNASABABISHWA NA VVU.

HYPOTHESIS YA VVU KUSABABISHA UKIMWI MPAKA LEO HAIKUWEZA KUTHIBITISHWA KISAYANSI. NI WATU TU NA MAKAMPUNI YA MADAWA PAMOJA NA TAASISI ZA KIJASUSI WALIAMUA KUUNDA MPANGO WA KUWALISHA WATU ARVS KWA MADHUMUNI WANAYOYAJUA WAO.

NIMEMALIZA.
 
UJINGA MTUPU.

SAYANSI ZA KITAPELI HIZI.
 
Wewe usiwapoteze wenzio Ukimwi upo na utaendelea kuwepo muhimu ni kufuata masharti na kama unao kula Dozi
WEWE USIYEJUA HATA TOFAUTI KATI YA UKIMWI NA VVU UNATAKA KUJITIA UJUAJI?

UNAFIKIRI HIZO NOTES ZAKO UCHWARA ZA SAYANSI ULIZOKARIRISHWA KWENYE MASHULE YA KATA ZINAWEZA KUFUA DAFU MBELE YA UJASUSI ULIO NYUMA YA ARVS?

ACHA KUSHIRIKI HII GENOCIDE. KAMA UNATAKA KUJIPATIA UJIKO KWAMBA WEWE NI MSOMI, TAFUTA MAHALI PENGINE, LAKINI SIO KWENYE UHAI WA WATU.
 
Basi Kuna ugonjwa halisi ambao inasababisha upungufu wa Kinga mwilini ila umefichwa au
 
Ukiona mama hanyonyeshi mtoto wake jua huyo ni muathirika na anamkinga mtoto wake asipate maambukizi

Si kweli, nina ushahidi wa mama muathirika aliyenyonyesha mwaka mmoja bila kumuambukiza mwanaye… Sio wote wasionyonyesha ni waathirika
 
Kwanini miezi sita ya kwanza na si zaidi?
Mala nyingi watoto huanza kuota meno kuanzia miezi 6, hivyo ni rahisi kumng'ata titi mama, na kutoka damu, hivyo kupelekea kupata maambukizi, ndio maana huwa wanashauri hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…