Hivi ni kweli wanawake wanavutiwa zaidi na wanaume wanaonukia kuliko wanaopendeza?

Mwanaume usafi buana..na anukie kiasili

Sijawahi vutiwa na manukato yanayopulizwa mwilini mwa mwanaume
 
Nakubaliana mwanaume anayenukia anavutia sana,hasa expensive perfumes daah!!! pia hua anavuta usikivu wa kumsikiliza zaidi.
 
Mm najali kinywa cha kwanza. Sio mtu anaongea anacheua haruf ya nyama iliyooza[emoji23]. Awe smart. Awe msafi ajue kupangilia mavazi sio kuvaa tu ilimradi. Na ka pafyumu kataaam hapo sasa uwiii
 
MWANAMKE ANAVUTIWA NA MWANAUME MWENYE MAFANIKIO WEWE HASWA YA KIFEDHA ACHANA NA KUNUKIA SIJUI NA NINI, KAMA HUNA PESA HAITAKUSAIDIA, HAKUNA MWANAMKE ANAYETAKA MAISHA YA SHIDA.
 
Mm najali kinywa cha kwanza. Sio mtu anaongea anacheua haruf ya nyama iliyooza[emoji23]. Awe smart. Awe msafi ajue kupangilia mavazi sio kuvaa tu ilimradi. Na ka pafyumu kataaam hapo sasa uwiii
Binti mfalme upo very selective
 
MWANAMKE ANAVUTIWA NA MWANAUME MWENYE MAFANIKIO WEWE HASWA YA KIFEDHA ACHANA NA KUNUKIA SIJUI NA NINI, KAMA HUNA PESA HAITAKUSAIDIA, HAKUNA MWANAMKE ANAYETAKA MAISHA YA SHIDA.

Ndio maana wakaulizwa kina dada πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Je mnapenda harufu gani mabinti? asilia au ile ya kiwandani
Harufu ya kiwandani ikichanganyikana na yajasho kwa wa Dsm tu unapata
 
Wewe nukia Ila Kama mfukoni hausomeki wanawake wanakuona PAPASI tu.
 
Mkuu hivi vitu viwili kupendeza na kunukia vinakwenda sambamba,,,mfano perfume wenzetu wanaichukulia kama ni nguo,,,na ukizoea sn kunukia harufu nzuri,, siku ukiwa huna manukato basi utajiona kama una mapungufu Fulani...mkuu naunga mkono hoja kwamba kunukia harufu nzr kunakaribisha na kuvutia wanawake wazuri sana,,,mimi mwenyewe ni Chizi perfumes mkuu,,,kwa kifupi najipenda na napenda kunukia tena harufu nzuri sana...nishabahatika kupata wasichana tofauti tofauti tena baadhi yao ni wake za watu,,,siku nikauliza nini kiliwafanya wanikubali,,,,kwa muda tofauti kila mmoja alisema kwanza najipenda,,,napendeza,,nanukia vizuri sana...kwahyo mkuu kunukia harufu nzr kunavutia zaidi warembo na kunapandisha status yako...hata msichana anayenukia harufu nzr,,,aisee ni hatari sana,,she is so romantic and sexy..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…