Hivi ni kweli wanawake wanavutiwa zaidi na wanaume wanaonukia kuliko wanaopendeza?

Hivi ni kweli wanawake wanavutiwa zaidi na wanaume wanaonukia kuliko wanaopendeza?

mwanaume unatakiwa unukie kibeberu beberu kidogo sio unakia vimauamaua tu... oga vzuri vaa nguo safi , kwishnehi mambo ya unyunyu waachie wadada!
 
We pendeza halafu uwe unatoa harufu ya hovyo hovyo tu na mijasho uone kama kuna demu atakusongelea, kwa kifupi hakuna mtu anaevutiwa na uchafu, vaa smart, kuwa msafi, pendeza watakuja wenyewe wala huna haja ya kutumia nguvu kubwa
Habari za wakati huu ndugu zangu wa bara na visiwani, mashariki ya mbali na magharibi pia...

Mara nyingi nimekuwa nikilisikia hili swala kuwa wanawake wengi huvutiwa na wanaume wanaonukia zaidi kuliko wale wanaopendeza.

Suala hili imepelekea kunipa maswali mengi. Je, ukiwa umevaa nguo kuu kuu lakini ukawa unanukia zaidi kuliko yule aliyevaa nguo mujarabu zinazovutia na amepakaa mafuta yake ya mgando au hajapakaa kabisa uturi au manukato ya aina yeyote wewe ndio utakuwa mashuhuri kwa wanawake na kuwavutia zaidi kuliko aliyependeza?

Swala hili nalileta kwenu watu wa jukwaa hili la urembo na mitindo tujaribu kulifafanua kama litakuwa na ukweli wowote.
 
We pendeza halafu uwe unatoa harufu ya hovyo hovyo tu na mijasho uone kama kuna demu atakusongelea, kwa kifupi hakuna mtu anaevutiwa na uchafu, vaa smart, kuwa msafi, pendeza watakuja wenyewe wala huna haja ya kutumia nguvu kubwa
Pia dili zingine zinakuja tokana na u smart.
 
Habari za wakati huu ndugu zangu wa bara na visiwani, mashariki ya mbali na magharibi pia...

Mara nyingi nimekuwa nikilisikia hili swala kuwa wanawake wengi huvutiwa na wanaume wanaonukia zaidi kuliko wale wanaopendeza.

Suala hili imepelekea kunipa maswali mengi. Je, ukiwa umevaa nguo kuu kuu lakini ukawa unanukia zaidi kuliko yule aliyevaa nguo mujarabu zinazovutia na amepakaa mafuta yake ya mgando au hajapakaa kabisa uturi au manukato ya aina yeyote wewe ndio utakuwa mashuhuri kwa wanawake na kuwavutia zaidi kuliko aliyependeza?

Swala hili nalileta kwenu watu wa jukwaa hili la urembo na mitindo tujaribu kulifafanua kama litakuwa na ukweli wowote.
Harufu nzuri ni moja ya utambulisho wa mtu mstaarabu hata kama sio mstaarabu ataonekana mstaarabu. Utambulisho mwingine ni ukimya na kuongea maneno machache kwa utaratibu yasiyokwaza, mwingine ni kuwa mtoaji na kusaidia pale unapoombwa msaada, lakini pia tabasamu wakati wa kumtazama mtu.

Hivi ni miongoni mwa vitu natural ambavyo humpa mtu mvuto wa nguvu sana.....
 
Sisi tusionuka wala kunukiwa sijui itakuaje?
 
Mimi najali zaidi hali ya usafi wake kwa ujumla na sio kunukia koti soksi inatoa uvundo,.mwingine ananukia juujuu ukimvua vest tuu unapata pumu na kifaduro..😣
Hahahah we mwanamke umetuchoka sie 😂😂😂 aya ngoja nitafute pafyumu ya moka sahivi!
 
Back
Top Bottom