Financial Analyst
JF-Expert Member
- Nov 27, 2017
- 1,849
- 3,506
Huyo wa Iringa wamemfanyaje kwani?Nenda Iringa utmkatembee na mke wa mtu ukutane na LITAMBULILO wakuzike kama wanavyomzika mwenzio kesho.
Mkuu unaamini maandiko?Stori ni nyingi hadi we mwenyewe unaweza kuhisi umerogwa kweli.
Ipi ni stori ya ukweli ya uchawi wa kurogana na mambo ya kutupiana laana
Karibuni
KurogwaUchawi na kurogwa kupo its a matter of time usieamini utaamini yakikukuta, hata biblia inakubali uchawi upo
KurogwqUchawi upo
Hamtudanganyi nyie mawakala wa shetani maana mbinu yenu sasa ni hiyo ili mturoge.Kiufupi, wajinga wakishindwa kuelewa kitu wanasingizia uchawi. Hakuna kitu kinafunua ujinga wa mtu kama imani yake juu ya habari za kichawi. Jinsi ilivyo kali ndivyo ujinga wake ulivyo mkali zaidi.
Ya kurogwqMkuu unaamini maandiko?
KurogwaHamtudanganyi nyie mawakala wa shetani maana mbinu yenu sasa ni hiyo ili mturoge.
Njoo na kitoto dinda chako utembee na wake za watu si hakuna uchawi mkuu.Huyo wa Iringa wamemfanyaje kwani?
Maana kama ana amini maandiko wachawi wametajwa mle mara kadhaa maana yake upo.Ya kurogwq