Hivi ni kweli wayahudi wanaitawala dunia? Kweli ama si kweli toa sababu zako..

Hivi ni kweli wayahudi wanaitawala dunia? Kweli ama si kweli toa sababu zako..

Status
Not open for further replies.
Namba zako sio hitimisho....ni za wayahudi pia....
Asante kwa hoja pia...matini ndefu tushiriki pamoja picha kutoka upande mwingine wa shilingi....Russia..french revolutions zote zilikuwa orchestrated na wayahudi...hatugombani ndugu tueleweshane....Mungu sio myahudi
Hujajibu swali moja badala yake unaleta mambo mengine bila msingi.

Myahudi gani alikuwa muhimu katika mapinduzi ya Ufaransa??????
 
Hujaeleza vizuri.
In short dunia inatawaliwa na wayahudi hadi sasa. Marekani ni wayahudi kijeshi, uingereza, ufaransa na ujerumani pia. Jeshi ndiyo nchi. Uimara wa jeshi ndiyo uimara wa utawala. Huwezi kuwagusa wayahudi kuitawala dunia bila kuligusa kanisa katoliki.

Dunia nzima hadi sasa inatawaliwa na wayahudi kupitia viongozi wa kanisa katoliki duniani.
Ukiligusa kanisa katoliki popote umeigusa Vatican na wayahudi pia.
Nadhani washauri wakuu wa marais waliopita marekani kuhusu masuala ya uchumi ni Zignew Brensizk huyu pia alikuwa mshauri wa papa ktk masuala ambayo siwezi kuyaweka wazi sana.
Kwa ufupi wayahudi ni watu jasiri ambao huwa hawashindwi na sasa wametengeneza wayahudi wengi dunia nzima kupitia dini na siasa na mambo ya ujasusi wa vita.
 
Hujajibu swali moja badala yake unaleta mambo mengine bila msingi.

Myahudi gani alikuwa muhimu katika mapinduzi ya Ufaransa??????
The Men Who Caused the French Revolution 1789

pawns_cover.gif
In the previous chapter evidence was given to prove how a small group of foreign money-lenders, operating through their English agents, remained anonymous while they secured control of that nation’s economy for the modest sum of £1,250,000. Evidence will now be produced to identify some of these International Jewish money-lenders and prove they, or their successors, plotted and planned, and helped finance, the Great French Revolution of 1789, exactly the same way as they had plotted and planned and financed the English Revolution of 1640-1649. In succeeding chapters evidence will be produced to prove that the descendants of these same International Jewish Financiers have been The Secret Powerbehind every war and revolution from 1789 onwards.
The Jewish Encyclopedia says Edom is in modern Jewry. This is a very important admission, because the word Edom means Red. History reveals that a Jewish Goldsmith, Amschel Moses Bauer, tired of his wandering in Eastern Europe, decided in 1750 to settle down in Frankfort-on-the-Main in Germany. He opened a shop, or Counting House, in the Jundenstrasse district. Over the door of his shop he placed as his sign of business A RED SHIELD. It is of the greatest importance to remember that the Jews in Eastern Europe, who belonged to the revolutionary movement based on terrorism, had also adopted The Red Flag as their emblem because it represented Blood.

Amschel Moses Bauer had a son born in 1743 and he named him Amschel Mayer Bauer. The father died in 1754 when his son was only eleven years of age. The boy had shown great ability, and extraordinary intelligence, and his father had taught him everything possible about the rudimentary principles of the money-lending business. It had been the father’s intention to have his son trained as a Rabbi but death intervened.
 
Hujaeleza vizuri.
In short dunia inatawaliwa na wayahudi hadi sasa. Marekani ni wayahudi kijeshi, uingereza, ufaransa na ujerumani pia. Jeshi ndiyo nchi. Uimara wa jeshi ndiyo uimara wa utawala. Huwezi kuwagusa wayahudi kuitawala dunia bila kuligusa kanisa katoliki.

Dunia nzima hadi sasa inatawaliwa na wayahudi kupitia viongozi wa kanisa katoliki duniani.
Ukiligusa kanisa katoliki popote umeigusa Vatican na wayahudi pia.
Nadhani washauri wakuu wa marais waliopita marekani kuhusu masuala ya uchumi ni Zignew Brensizk huyu pia alikuwa mshauri wa papa ktk masuala ambayo siwezi kuyaweka wazi sana.
Kwa ufupi wayahudi ni watu jasiri ambao huwa hawashindwi na sasa wametengeneza wayahudi wengi dunia nzima kupitia dini na siasa na mambo ya ujasusi wa vita.
Asante Kaka...make kipala ananisumbua haelewi hoja ya msingi
 
Myahudi gani alikuwa muhimu katika mapinduzi ya Ufaransa?
Hujaeleza vizuri.
In short dunia inatawaliwa na wayahudi hadi sasa. Marekani ni wayahudi kijeshi, uingereza, ufaransa na ujerumani pia. Jeshi ndiyo nchi. Uimara wa jeshi ndiyo uimara wa utawala. Huwezi kuwagusa wayahudi kuitawala dunia bila kuligusa kanisa katoliki.....
Unaleta madai bila msingi wowote. Taja majina. Wapi katika Jeshi la Ujerumani Wayahudi???
Wapi katika jeshi la Ufaransa ???
Huko Marekani kulikuwa na wachache.
Kabla ya hatujaendelea, taja majina na eleza kwa maneno yako umuhimu wao katika maamuzi gani.
Kama huna, basi tuache.
 
Myahudi gani alikuwa muhimu katika mapinduzi ya Ufaransa?

Unaleta madai bila msingi wowote. Taja majina. Wapi katika Jeshi la Ujerumani Wayahudi???
Wapi katika jeshi la Ufaransa ???
Huko Marekani kulikuwa na wachache.
Kabla ya hatujaendelea, taja majina na eleza kwa maneno yako umuhimu wao katika maamuzi gani.
Kama huna, basi tuache.
Unakubali kuwa walikuwepo wachache huko marekani sasa hivi hao wachache wako wapi na nchi gani na wanafanya nini. Je hawakuongezeka?. Leta hoja siyo ubishi.
 
Namba zako sio hitimisho....ni za wayahudi pia....
Asante kwa hoja pia...matini ndefu tushiriki pamoja picha kutoka upande mwingine wa shilingi....Russia..french revolutions zote zilikuwa orchestrated na wayahudi...hatugombani ndugu tueleweshane....Mungu sio myahudi
Hujajibu swali moja badala yake unaleta mambo mengine bila msingi.

Myahudi gani alikuwa muhimu katika mapinduzi ya Ufaransa?
The Men Who Caused the French Revolution 1789...
Hujaleta jina moja.
Kitabu unacholeta ni cha William Guy Carr. Je una msingi wowote wa kufanya utathmini?
Nilisoma historia ya Mapinduzi ya Ufaransa. (bila shaka wewe hujaisoma, sivyo?) Anachoorodhesha ni madai matupu kuhusu Wayahudi kuongoza mapinduzi haya kwa siri. Hataji chanzo chochote.

Historia si mchezo vile. Ni kazi na leo hii tunaweza kufuatilia hati za zamani ambazo zimeshachapishwa, zinajulikana, zimejadiliwa na maelfu wa wanahistoria kote duniani. Bwana Carr hakuwa mwanahistoria. Hana utaalamu.
Kama wewe unayoo - basi lete vyanzo, majina, tarehe na mahali ambako mambo yalitokea.
Kama huwezi - basi ni bure.

Bado hujajibu hata swali moja niliyouliza.
Tuhuma kwa Adolph Hitler ni fantasy za myahudi...
Hasa hii: kwa nini Wajerumani wanakubaliana ya kwamba Hitler alikuwa mhalifu aliyeanza kuharibu nchi kuanzia 1933 (si tu kuanzia Vita Kuu ya Pili)? Na hapa msingi wa mambo yanayotajwa kote duniani na wanahistoria.
 
Unakubali kuwa walikuwepo wachache huko marekani sasa hivi hao wachache wako wapi na nchi gani na wanafanya nini. Je hawakuongezeka?. Leta hoja siyo ubishi.
Naomba usijaribu kuepukana na maswali kwa kuleta maswali mapya. Wewe ulidai Wayahudi wanatawala Jeshi la Ujerumani, Ufaransa na Marekani.

Unaweza kutangulia kwa kuonyesha elimu yako kuhusu Ujerumani na Ufaransa. Nani???
Na Marekani unahitaji kuwataja mwenyewe, maana wewe ulileta dai. Unaweza, je?
 
Naomba usijaribu kuepukana na maswali kwa kuleta maswali mapya. Wewe ulidai Wayahudi wanatawala Jeshi la Ujerumani, Ufaransa na Marekani.

Unaweza kutangulia kwa kuonyesha elimu yako kuhusu Ujerumani na Ufaransa. Nani???
Na Marekani unahitaji kuwataja mwenyewe, maana wewe ulileta dai. Unaweza, je?
Tatizo hata thread hujailewa. Thread inataka ukubali au ukatae kwa hoja zako. Sasa wewe kama huamini niliyoyaeleza subiri wakati ukifika ndipo utajua.
Moja ya vipengele vilivyopo ktk katiba ya marekani ni kumtaka rais yeyote anayeitawala marekani kuitambua Israel na ikiwa hawezi basi hafai kuwa rais haijalishi huyo rais ni mwislamu au laa.
Fukua uelewe siyo kukalia povu. Mimi si mkatoliki lakini hilo kanisa ni maji marefu ndilo linaloweza kudetermine aina ya uongozi kwa asilimia kubwa.
Rais Nyerere aliwahi mfukuza balozi wa Italy nchini lakini bado alisahau kuwa maaskofu wote mpaka kadrinali wanatuma taarifa za kanisa mpaka nchi huko kwa papa.
Kama huwajui wayahudi kakojoe ulale.
 
wayahudi wanatawala , matajili wote 89 % duniani ni wayahudi benki zote za wayahudi , Hollywood cinema zote zao , 89 % magazeti zao tv news zao zaidi ya hapo ushatawala dunia
Hata masonic ni wao,na vitabu vya dini vimeandika historia yao
 
Tatizo hata thread hujailewa. Thread inataka ukubali au ukatae kwa hoja zako. Sasa wewe kama huamini niliyoyaeleza subiri wakati ukifika ndipo utajua.
Moja ya vipengele vilivyopo ktk katiba ya marekani ni kumtaka rais yeyote anayeitawala marekani kuitambua Israel na ikiwa hawezi basi hafai kuwa rais haijalishi huyo rais ni mwislamu au laa....
Bado unakimbia kila swali. Nasubiri !!!
Naomba usijaribu kuepukana na maswali kwa kuleta maswali mapya. Wewe ulidai Wayahudi wanatawala Jeshi la Ujerumani, Ufaransa na Marekani.
Unaweza kutangulia kwa kuonyesha elimu yako kuhusu Ujerumani na Ufaransa. Nani???
Na Marekani unahitaji kuwataja mwenyewe, maana wewe ulileta dai. Unaweza, je?

Badala yake unaleta mambo mapya bila msingi. Wapi katika Katiba ya Marekani (nikusaidie: Matini iko hapa https://www.senate.gov/civics/constitution_item/constitution.htm) kuna kipengele kuhusu Israel???
Lete majibu, naomba sana !
 
Hujajibu swali moja badala yake unaleta mambo mengine bila msingi.

Myahudi gani alikuwa muhimu katika mapinduzi ya Ufaransa?

Hujaleta jina moja.
Kitabu unacholeta ni cha William Guy Carr. Je una msingi wowote wa kufanya utathmini?
Nilisoma historia ya Mapinduzi ya Ufaransa. (bila shaka wewe hujaisoma, sivyo?) Anachoorodhesha ni madai matupu kuhusu Wayahudi kuongoza mapinduzi haya kwa siri. Hataji chanzo chochote.

Historia si mchezo vile. Ni kazi na leo hii tunaweza kufuatilia hati za zamani ambazo zimeshachapishwa, zinajulikana, zimejadiliwa na maelfu wa wanahistoria kote duniani. Bwana Carr hakuwa mwanahistoria. Hana utaalamu.
Kama wewe unayoo - basi lete vyanzo, majina, tarehe na mahali ambako mambo yalitokea.
Kama huwezi - basi ni bure.

Bado hujajibu hata swali moja niliyouliza.

Hasa hii: kwa nini Wajerumani wanakubaliana ya kwamba Hitler alikuwa mhalifu aliyeanza kuharibu nchi kuanzia 1933 (si tu kuanzia Vita Kuu ya Pili)? Na hapa msingi wa mambo yanayotajwa kote duniani na wanahistoria.
Ndugu kipala by ruling the world we mean myahudi anatawala misingi mitano ya global production yaani... religion, academic, cultural , financial na political...nadhani na wewe ni zao la decadent Jewish propaganda
 
Tatizo hata thread hujailewa. Thread inataka ukubali au ukatae kwa hoja zako. Sasa wewe kama huamini niliyoyaeleza subiri wakati ukifika ndipo utajua.
Moja ya vipengele vilivyopo ktk katiba ya marekani ni kumtaka rais yeyote anayeitawala marekani kuitambua Israel na ikiwa hawezi basi hafai kuwa rais haijalishi huyo rais ni mwislamu au laa.
Fukua uelewe siyo kukalia povu. Mimi si mkatoliki lakini hilo kanisa ni maji marefu ndilo linaloweza kudetermine aina ya uongozi kwa asilimia kubwa.
Rais Nyerere aliwahi mfukuza balozi wa Italy nchini lakini bado alisahau kuwa maaskofu wote mpaka kadrinali wanatuma taarifa za kanisa mpaka nchi huko kwa papa.
Kama huwajui wayahudi kakojoe ulale.
Asante ndugu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom