Hivi ni kweli wayahudi wanaitawala dunia? Kweli ama si kweli toa sababu zako..

Hivi ni kweli wayahudi wanaitawala dunia? Kweli ama si kweli toa sababu zako..

Status
Not open for further replies.
Umetipiga stop kucjangia kupitia media tulizosoma. Je utafi5i wako source yake wape? Uliwahoji watu kadhaa ? Ulienda wapi na wapi kupata taarifa hizi ? Utafiti wako ulufanyika wapi? Na wewe umechungulia kwenye vyombo vya mawasiliano. Hata hivyo hujaweka utafiti wako hapo tuusome ukiweka na takwimu.
Ukitoka POVU ni dalili umeshikwa pabaya
Mbona sielewi...sijazuia mtu kukomenti
Changieni tu ndugu
 
Kwa maana hiyo hata maneno yako hayo Unaropoka tu bila kudhibitisha unayatoa wapi??unataka kufanya hapa JF ni kijiwe cha kahawa??Kama huwezi kudhibitisha maneno yako nyamaza kimya!!
Ugomvi na wewe si taki ndugu, na ugomvi wangu ni nje ya JF, na ukianza hauishi...
Data si ukatafute mwenyewe...
 
Ugomvi na wewe si taki ndugu, na ugomvi wangu ni nje ya JF, na ukianza hauishi...
Data si ukatafute mwenyewe...
Kwa maana hiyo unataka kutufanya sisi hapa ni mazuzu kama wewe!!! Kama huna taarifa sahihi nyamaza kama unazo lete hapa sio kuleta UMBEYA hapa!!!
 
Kwa maana hiyo unataka kutufanya sisi hapa ni mazuzu kama wewe!!! Kama huna taarifa sahihi nyamaza kama unazo lete hapa sio kuleta UMBEYA hapa!!!
Wewe kama hujui habari za Mossad ni wewe...katika duru za intelligence mbona wanafahamika tu, unataka kuninukuu hapa, sikupi data wewe ng'o tawapa watu wenye adabu..Tena hayo maswali aniulize Qasim alionzisha mchepuko yuko kimya sababu anafahamu....
 
Wewe kama hujui habari za Mossad ni wewe...katika duru za intelligence mbona wanafahamika tu, unataka kuninukuu hapa, sikupi data wewe ng'o tawapa watu wenye adabu..Tena hayo maswali aniulize Qasim alionzisha mchepuko yuko kimya sababu anafahamu....
Na mjadala wa wayahudi umeshafungwa
Kama mlivyokuwa mnataka' nini zaidi unatafuta ndugu?
 
Kwa hivyo ukila kushoto unakutana na gaidi: kamba...ukiingia kulia unakutana na msalaba: waya...ukiingia Kati naam kingi kwenye kinywa Cha mamba...zamani katika historia yake myahudi alifahamu binadamu ni kichwa chake ukishakipata hicho amekwisha...na akagundua matumizi ya dini kama silaha....kubwa kuliko zote. Kwanza akaanza na project ya Musa, kisha part II akaja na Yesu....mwisho wazee wakiyahudi wakampanga kijana mmoja allitwa Muhammad Abdula...akatuletea Uislamu project yake ikawa imekamilika
Hii Sasa kufuru na dhihaka kwa mungu elezeeni mambo yenu mungu mmuache
 
Ni kweli ukisha control MEDIA na WORLD's BANKING SYSTEMS wewe automatically unacontrol dunia.
JEWS ni viumbe hatari sana duniani, na Hitler didn't murders these fools ni propaganda tu.
 
Ni kweli ukisha control MEDIA na WORLD's BANKING SYSTEMS wewe automatically unacontrol dunia.
JEWS ni viumbe hatari sana duniani, na Hitler didn't murders these fools ni propaganda tu.
Asante ndugu...wenzio huko juu umewaona....wanaabudiwa wayahudi
 
Vitu vinamwagwa na Fantasia, ukipinga lete data zako za kupingana naye, au tafuta uone kama kweli na siyo tunapinga tu kisa unaamini vitabu vya hadithi...
 
Lete counter data to refute my assertions
Nitakupa data
Fantasia hana data halisi. Nimewahi kumwuizia maswali mengi. Hajaleta jibu hata Moja. Hapo juu Omulasil aliongeza kumwuliza ([HASHTAG]#200[/HASHTAG]). Hakujibu.
Analeta tu kopi-paste kutoka tovuti za Marekani. Akiiulizwa anakimbia ama kwa kumwaga kopi-paste ndefu mambo mengine au kwa kujibu kwa lugha tamu "asante..." (au kwa Kiingereza kibovu "Your very cognisant").
Dai lake la kiasili ni "Wayahudi wanamtukana Adolf (si Adolph!!) Hitler". Inaonekana hajui Wajerumani wenyewe wanamchukia kwa sababu aliharibu nchi yao. Lakini hii hataki kujadili (hana habari? Nadhani!) https://www.jamiiforums.com/members/omulasil.288009/
 
Ukitaka kumjua Myahudi, Anza na Kitabu cha MWANZO 12:1- utiririke na mzee wetu Ibrahimu - Baba wa imani
 
Ukitaka kumjua Myahudi, Anza na Kitabu cha MWANZO 12:1- utiririke na mzee wetu Ibrahimu - Baba wa imani
Unaleta mwandiko wa miaka 3000 iliyopita ma unataka kujua watu wa jumuiya ya milioni 16 leo??? Vipi? Binafsi unajua watu wangapi? 30? 60? 100? Zaidi? Je unaweza kusema unawajua Watanzania? Au Wakenya? Hii haiwezekani! Hata tukiwa binafamu katika taifa, kabila, utamaduni fulani hata hivyo kila mmoja ni kiumbe wa pekee (kwa imani yangu aliyeumbwa na mungu) na kila mmoja ni tofauti.
 
Vitu vinamwagwa na Fantasia, ukipinga lete data zako za kupingana naye, au tafuta uone kama kweli na siyo tunapinga tu kisa unaamini vitabu vya hadithi...

Unamsifia Fantasia kwa sababu na wewe ni mbumbumbu hujui chochote kuhusu Wayahudi,Bali wote mnaongozwa na chuki zenu binafsi kwa Wayahudi kitu ambacho hakitawasaidia kabisa.Rafiki yako huyo hana lolote na hana chochote bali amejaa chuki tu yeye mwenyewe ukimdodosa sana hana DATA wala Majibu sahihi sana sana ku-Copy na paste ujinga ambao hauna kichwa wala miguu.
 
Unaleta mwandiko wa miaka 3000 iliyopita ma unataka kujua watu wa jumuiya ya milioni 16 leo??? Vipi? Binafsi unajua watu wangapi? 30? 60? 100? Zaidi? Je unaweza kusema unawajua Watanzania? Au Wakenya? Hii haiwezekani! Hata tukiwa binafamu katika taifa, kabila, utamaduni fulani hata hivyo kila mmoja ni kiumbe wa pekee (kwa imani yangu aliyeumbwa na mungu) na kila mmoja ni tofauti.

Kama cha kusema bora ukanyamza kuliko kutoa uharo kama huu unauliza maswali lukuki bila kuelezea logic yako ni nini hasa!!!Mimi bado sijaona tofauti yako na huyu Fantasia ambaye anaropoka tu bila kudhibitisha maneno yake hayo ameyatoa wapi.Nakushauri kuwa kama una uelewa kuhusu wayahudi leta habari kamili na vyanzo vya habari hiyo ili na sisi wasomaji tujiridhishe na maneno yako na siyo kutuletea maneno ya kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Asante ndugu...wenzio huko juu umewaona....wanaabudiwa wayahudi
Well ni kawaida, mtu aliekua brainwashed kuamini otherwise inakua ngumu.
hawa maisha yao yote wamefundishwa wayahudi ni taifa teule kwenye maandiko yao ya kiimani.
usitegemee watakuelewa ukija na mtazamo mwingine ambao perhaps ndio ukweli wenyewe.
 
Fantasia hana data halisi. Nimewahi kumwuizia maswali mengi. Hajaleta jibu hata Moja. Hapo juu Omulasil aliongeza kumwuliza ([HASHTAG]#200[/HASHTAG]). Hakujibu.
Analeta tu kopi-paste kutoka tovuti za Marekani. Akiiulizwa anakimbia ama kwa kumwaga kopi-paste ndefu mambo mengine au kwa kujibu kwa lugha tamu "asante..." (au kwa Kiingereza kibovu "Your very cognisant").
Dai lake la kiasili ni "Wayahudi wanamtukana Adolf (si Adolph!!) Hitler". Inaonekana hajui Wajerumani wenyewe wanamchukia kwa sababu aliharibu nchi yao. Lakini hii hataki kujadili (hana habari? Nadhani!)
Kipala uliomba huu mjadala ufungwe...umerudi Tena? Tunaishi katika age ya internet...internet is a legitimate citation source, if not hautaikuta internet, mnataka' kuwarudisha watu gizani?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom