Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tumeshakubaliana kwamba wao "Wayaudi",ndio wanaomiliki dunia hii,hata ukitambika itasaidia nini. Wakati unatambika si unaishi hapa hapa duniani?,au unaishi hewani?Kwani unaenda msikitini na kanisani ukapate Nini? Love yours....ya myahudi ibada yakwako uchafu? Ndio sababu ukakubali kuitwa mtumwa...Kila mtu kwao
Umekubali wewe, wenzio tushatoka, we are the ideological rebels..kizazi Cha Makuhani, na kuhani dira kizazi hiki muhanga Dedan Kimathi....wewe ni kuhani ndugu jitambue..wewe ni Mwana wa miungu..your the most powerful...fungua Macho yako uone,Tumeshakubaliana kwamba wao "Wayaudi",ndio wanaomiliki dunia hii,hata ukitambika itasaidia nini. Wakati unatambika si unaishi hapa hapa duniani?,au unaishi hewani?
No way, in that case it should be relative and democratic, kwa mfano sisi weusi according to the blue print ya babu zetu hatukuweza kumpa jina, badala yake we refer to him as the hidden one....huwezi kumpa Mungu jina...ni kufuru kubwa....matokeo yake ubaguzi wa rangi na bisshara ya utumwaKwenye issue ya jina kuitwa, Allah, Mungu ama Jehovah n.k hyo inategemea na mtu mahali ametoka na lugha anayotumia ... Bila Shaka unaamini katika uwepo wa Mungu na ni lazima jina lipatikane la kumtofautisha yeye na viumbe wengine na hapo ndipo majina yakaja!!
Mkuu you are too general,go to specificsUmekubali wewe, wenzio tushatoka, we are the ideological rebels..kizazi Cha Makuhani, na kurani dira kizazi hiki Dedan Kimathi....wewe ni kuhani ndugu jitambue..wewe ni Mwana wa miungu..your the most powerful...fungua Machi yako uone, utoke msukuleni
Haha haha haahhaaaaha h haaaaaaa haaaaaaa hahahahah, na ninakuhakikishiaHii sasa unatafuta BAN kwa nguvu naamini utaipata tu!!!
Je wanao miliki dunia hii,wakizipiga marufuku hizo ibada za asili?Ibada asilia ya watu weusi, kwa ukombozi wa bara la Africa na dunianziima