Nswima John Edward
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 612
- 312
walimu kazi ipo na taarifa zisizo zibitishwa,yafaa kusubiri tu siku chache zijazo kama wasemavyo
Tena hamta ajiriwa wote sababu ya ukosefu wa fedha, wengine watasubiri mpaka August 1
sio August tu wanaweza kufika hata mwaka ujao bila ajira, kuna watu wamemaliza 2011 hadi sasa hawajapata ajira na walikuwa wanatucheka sisi tuliosoma kozi tofauti na ualimu, matokeo yake sisi tupo katika ajira na wao bado wanahangaika kusubiri.
Wameshaweka kaangalie, ila umepelekwa Nanyumbu sec iliyopo Mtwara vijijini. Huko gari halifiki hivyo jiandae kubeba mabegi kichwani. Teh teh teh teeeeh!