Nswima John Edward
JF-Expert Member
- Oct 25, 2012
- 612
- 312
Jamani nijuzeni Mwenzenu....Nimejitahidi kuingia kwenye website ya wizara lakini sijaona kitu, kwenye mitandao ya kijamii bado nimefua dafu, mwenye link ya ajira mpya za walimu wa shahada anipatie!!!