Hivi ni lazima utumie ushirikina kwenye biashara ndo utoboe?

Hivi ni lazima utumie ushirikina kwenye biashara ndo utoboe?

Unaenda kwa mganga yuko hoi na maisha yake kijijini
Unamwambia eti unataka utajiri ankuambia kauwe ndugu unakubali
Anakupa na vitu vya kujipaka unakubali kwa uzezeta wako

La mwisho anakuambia fungua duka mapema na ufunge wa mwisho kumbe huo ndio Uchawi mengine mbwembwe
Na we fala kauwe sasa
Shida mtu anataka akifungua biashara leo, basi kesho afanikiwe.
Shortcut inawaponza wengi wanaenda kutapeliwa huko na waganga.
 
Shida mtu anataka akifungua biashara leo, basi kesho afanikiwe.
Shortcut inawaponza wengi wanaenda kutapeliwa huko na waganga.
Kwaiyo nikienda kuweka kinga zidi ya uovu wa wachawi au wenye husda napo ni shortcut?
 
Shida mtu anataka akifungua biashara leo, basi kesho afanikiwe.
Shortcut inawaponza wengi wanaenda kutapeliwa huko na waganga.

Sio shortcut tu ni Imani dhaifu
Kuna wengi wanaamini kila tajiri ni uganga na wengi wanapotea hapo
 
Kuna kaukweli ndani yake
Kwamfano Mimi

1, nilitoka Kijiji kwangu na mtaji WANGU mpka tabora nikafungua biashara ikagoma nikarudi kijijini

2, nikapata mtaji mwengine nukaenda zangu mwanza nikaanza biashara...... ikagoma nikafuliiiiiaaaa nikarudi kijijini
Nikarudi kijijini nikapata mtaji mwengine nukaenda zangu dar nikafungua duka la jumla na rejareja....aisee Basi mtaji ukawa unapungua kila nikijitahidi kupunguza matumizi yasiyo ya lazimaa waaapi....duka linapukuta TU

Basi bwana, Kuna anko WANGU mmoja ndio akaniuma sikio "anko bwana hivhiv huwezi hili duka utafunga TU" ....Basi ndio akanipeleka sehemu

Now naendelea vizuri na nyumba nishajenga
 
Nimekua nikipata maoni ya watu mbalimbali kua ukianza biashara iwe kubwa au ndogo bila kwenda kwa babu ukawekwe sawa basi utakua unasindikiza wenzio. Naombeni maoni yenu wana JF maana tupo na maswali mengi kichwani yasiyo na majibu.
1 wazo

2 sehemu ya kufungulia biashara yako

3 uzoefu

4 mtaji

uchawi hauna nafasi kwenye uchumi
ukitaka kuamini kaloge alafu ukafungue biashara yako polini uone raha yake
 
Back
Top Bottom