Hivi ni lini?

Hivi ni lini?

Sidhani kama mtakuja kubadilika kwa sababu wengi akili yao ni kuoata kazi kwenye taasisi kubwa ambazo ndio zina majukumu makubwa ya kuhakikisha amani na usalama na uchumi unakaa vizuri

Ila wao wanawaza wakipata tu hapo wameula kwa kula rushwa mpaka ya ngono
Nilikuwa Airport siku moja huyo muajiriwa alivyopoteza mda wetu kisa kuongea na kasichana kadogo tena bila aibu na mama ya mtoto akisubiri pembeni na sisi tukingoja foleni ila mazungumzo nayasikia

Hao ndio tunawategemea walinde nchi akiwa kapagaishwa na rangi ya msichana na uzuri wake

Hakuna anaewaza kama unavyofikiria mkuu ni wachache sana ambao hawana sauti na wanaonekana viherehere

Takwimu za nchi tajiri duniani za mwaka huu
Hizi ni baadhi tu ya top 25 labda sisi katika top thieves
Screenshot_20230123_161705_Chrome.jpg
 
Sidhani kama mtakuja kubadilika kwa sababu wengi akili yao ni kuoata kazi kwenye taasisi kubwa ambazo ndio zina majukumu makubwa ya kuhakikisha amani na usalama na uchumi unakaa vizuri

Ila wao wanawaza wakipata tu hapo wameula kwa kula rushwa mpaka ya ngono
Nilikuwa Airport siku moja huyo muajiriwa alivyopoteza mda wetu kisa kuongea na kasichana kadogo tena bila aibu na mama ya mtoto akisubiri pembeni na sisi tukingoja foleni ila mazungumzo nayasikia

Hao ndio tunawategemea walinde nchi akiwa kapagaishwa na rangi ya msichana na uzuri wake

Hakuna anaewaza kama unavyofikiria mkuu ni wachache sana ambao hawana sauti na wanaonekana viherehere

Takwimu za nchi tajiri duniani za mwaka huu
Hizi ni baadhi tu ya top 25 labda sisi katika top thieves View attachment 2494148
sasa tunatokaje huku mkuu?
 
Sawa mkuu tutaonana mawinguni,

Kama nitawai kufika lakini wewe si unatangulia mm nitachelewa sana usinisubilie uko wewe ukiona pepo nenda ukikuta moto niambie mapema hili nichelewe chelewe huku
 
Kama nitawai kufika lakini wewe si unatangulia mm nitachelewa sana usinisubilie uko wewe ukiona pepo nenda ukikuta moto niambie mapema hili nichelewe chelewe huku
Nikwambie kwa kupitia nini? ushaambiwa ukiingia umeingia hakuna kutoka,
 
  • Ni lini tutakua na taifa la watu ambao tupo concerned na nchi yetu, tunajadili mada nzito nzito?
  • Ni lini tutakua na mashindano like top ten ya uzalishaji kiviwanda kwa mikoa?
  • Ni lini waziri wa teknolojia atazindua gari la umeme kutoka kampuni ya kitanzania?
  • Ni lini vijana wataacha kukimbilia sauzi?
  • Ni lini kila mtu atakua proud kuitangaza bendera ya Tanzania?
  • Ni lini tutakua na taifa la watu shupavu tusiotetereka?
  • Ni lini mtu atatamani kuhama Dar aende Nambunjumbwilu au Vikumbulu?
  • Ni lini polisi watakua watu wa kawaida tu kama sisi beside yapower yao kisheria?
  • Ni lini madogo watashindana ku-code na kuja na mawazo makubwa?
  • Ni lini tuta-launch satellite yetu?
  • Ni lini wadada wengi watajitambua?
  • Ni lini Watanzania kwenda vacation haitakua kitu cha ajabu?
  • Ni lini rangi ya kijani itatoka?
HIVI NI LINI?
Miaka 30 hivi tutakuwa hapo lakini yatupasa kuachana na CCM mapema.
 
Mind set zetu ziko negatively oriented! We are not here to support but instead to discourage each other. Ikionekana mtu kaongea idea nzuri, watu badala ya kumtia moyo wao wanaingiwa na jealousy; kwamba kwanini awe huyu? Wanaoendelea wote sio selfish; they move jointly. Ukimuona mwenzako kaanzisha jambo ambalo unahisi muhimu, toa support na sio kumchukia, au kama kakosea msaidie na sio kumponda. Aliyesema tumelaaniwa hakukosea!
 
Mind set zetu ziko negatively oriented! We are not here to support but instead to discourage each other. Ikionekana mtu kaongea idea nzuri, watu badala ya kumtia moyo wao wanaingiwa na jealousy; kwamba kwanini awe huyu? Wanaoendelea wote sio selfish; they move jointly. Ukimuona mwenzako kaanzisha jambo ambalo unahisi muhimu, toa support na sio kumchukia, au kama kakosea msaidie na sio kumponda. Aliyesema tumelaaniwa hakukosea!
huko south africa mkuu wabongo wanakufa sana, but mostly wanuana wao kwa wao mkuu so sad
 
Back
Top Bottom