Hivi ni mambo gani haya kutangaza kuhusu mkopo wakati majina hayajawekwa mtandaoni....

yuda yudae

Member
Joined
Aug 12, 2012
Posts
7
Reaction score
0
Ndugu zangu labda mie ndo sioni wanasema wameachia majina lakini siyaoni kulikoni heslb.
 
hii ndo tz kaka!!! tungoje bado mda upo!!!
 
may waapload sa hiv maana web yao haifunguki
 
Jamani punguzeni Jam kwenye web ya HESLB hakuna jipya humo leo
 
Hata wewe ni jembe wa JF, so usiamini kila kinacho wekwa jf vingine sio vya kweli, nenda kamuulize huyo jembe akuambie yeye kajuaje

kweli kaka,ila saivi naona web ya heslb haifunguki. Pengine ndo wanaweka vitu!
 
:flypig::A S cry:Hawa majamaa walikuwa wanapoza watu tu soma statistics zao ITV wanasema wamekosa buku 20 na Mwananchi wanadai Buku 4.....TUMWAmini nani???
 
vijana wana hamu kujua panga limekata wapi haya bwana power to u ila angalieni sana hizo pesa balaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…