Mwizukulu mgikuru
JF-Expert Member
- Oct 21, 2021
- 5,715
- 13,739
- Thread starter
-
- #21
Nitakuja mbeya mtoto mzuri kwa ajili yako.....ππππkumbe! Kawaida hiyo mkuu,umri unaposogea nao wanazidi kuwa wabishi kweli.Nilikwambia uje tule parachichi Likizo hii but ukanigomea,π
50 + 4 yearsUmri mkuu
Hapo umenenaNitakuja mbeya mtoto mzuri kwa ajili yako.....πππ
Wamezidiana 4 yrs na mama angu.Mama angu kakimbilia mambo ya ulokole ivo umri unavyokwenda anazidi kuwa msikivu na hekima juu50 + 4 years
WEWE NI MPUMBAVU... HUWEZI KUMZUNGUMZIA MAMA YAKO NAMNA HIYO...Mama ila nimekuja kugundua wababa wengi huwa na busara na hekima kadiri muda unavyozidi kusogea
Kidogo mimi mungu amenijaalia pesa ninayo walau kiasi...ningekuwa ni wale vijana wasiokuwa na kitu yaani maisha magumu.....angekuwa ananihamasisha kuvunja maduka ya watu usiku .Wamezidiana 4 yrs na mama angu.Mama angu kakimbilia mambo ya ulokole ivo umri unavyokwenda anazidi kuwa msikivu na hekima juu
Heri yako wewe usie mpumbavuWEWE NI MPUMBAVU... HUWEZI KUMZUNGUMZIA MAMA YAKO NAMNA HIYO...
HUYO NI MAMA YAKO... HATA IWEJE NI MAMA YAKO... NI LAZIMA UMSITIRI KWA MAPUNGUFU YAKE...
HATA KAMA HAKUNA ANAYEKUJUA HUMU... MAMA YAKOUMSITIRI HATA UKIWA PEKEE YAKO.. YAANI HATA KUMTUSI KIMOYOMOYO HAIFAI...
NDIO MADHARA YA KUSOMESHA MITOTO SHULE TU... INASHINDWA KUJUA THAMANI ZA MAMA ZAO.
πππaisee,but mama ni mama.Nenda nae taratibuKidogo mimi mungu amenijaalia pesa ninayo walau kiasi...ningekuwa ni wale vijana wasiokuwa na kitu yaani maisha magumu.....angekuwa ananihamasisha kuvunja maduka ya watu usiku .
.
Hela ninayo mkuu..hata miguu anayoitumia kusimama ni miguu yanguTafuta hela atasikiliza ushauri wako
taratibu utafika nilikoMama ila nimekuja kugundua wababa wengi huwa na busara na hekima kadiri muda unavyozidi kusogea
Acha ujinga, kila mtu hukosea haijalishi umri, kwa hiyo kwakua ni mama au bibi mfano wanendekeza mila za ukeketaji utawapa support kwakuwa tu ni wazazi wako?WEWE NI MPUMBAVU... HUWEZI KUMZUNGUMZIA MAMA YAKO NAMNA HIYO...
HUYO NI MAMA YAKO... HATA IWEJE NI MAMA YAKO... NI LAZIMA UMSITIRI KWA MAPUNGUFU YAKE...
HATA KAMA HAKUNA ANAYEKUJUA HUMU... MAMA YAKOUMSITIRI HATA UKIWA PEKEE YAKO.. YAANI HATA KUMTUSI KIMOYOMOYO HAIFAI...
NDIO MADHARA YA KUSOMESHA MITOTO SHULE TU... INASHINDWA KUJUA THAMANI ZA MAMA ZAO.
Ulimpenda kwa sababu zpAheri yako wewe una mzazi wa kike unapiga nae story, ati unataka kumkimbia mimi mwenzio juzi nimemzika Mama yangu niliyekua nampenda kuliko kitu chochote ilikua niende X-mass kusheherekea nae lakini amewahi mapema.
Wewe haumpendi mamako??Ulimpenda kwa sababu zp
Bado umri haujaenda.50 + 4 years
Pole sana.Kidogo mimi mungu amenijaalia pesa ninayo walau kiasi...ningekuwa ni wale vijana wasiokuwa na kitu yaani maisha magumu.....angekuwa ananihamasisha kuvunja maduka ya watu usiku .
.
Mzazi kakuzaa na kukulea mpaka umejitegemea afu leo ulete kiherehere cha kumfundisha la kufanya...?Nipo likizo yapata wiki moja, ila nilisafiri kutoka kwangu kuja kwa huyu mzazi wangu.
Likizo imekuwa chungu natamani tu nirudi nyumbani kwangu kabla ya muda, kutwa nashinda naongea nampa ushauri namuelekeza kuna baadhi ya mambo naona kabisa anaharibu lakini ni mbishi kwelikweli.
Kazi kwelikweli!