Hivi ni mimi tu au watu sasa wamebadilika

Hivi ni mimi tu au watu sasa wamebadilika

Habari za jioni kwa member wote wa JF

Hivi Sasa Kuna kitu sijaelewa mpaka Sasa Yani naona watu wamekuwa shallow Sana.

Naona Sasa mtu kukutafuta ni mpaka awe na shida au matatizo la sivyo hakuna shobo hata kidogo.

Kila mtu anajiona star au ana act celebrate flani yaani Kila mtu anajiona special hivi.

Sahivi ukiongea na mtu utakuta anaongea yeye tu na mambo yake ni ngumu Sana kukuta mtu anakusikiliza unachoongea na hata akijitahidi kusikiliza unachoongea atakukatisha katikati au utaona usoni kwake anaonyesha dharau japo atajificha.

Kila mtu Sasa na victim yaani yeye ndio amekosewa na onewa ni ngumu Sana kukuta mtu anakubali makosa yake hata Kama ni Iko wazi.

Dunia ya Sasa kwa Ninachokiona ni changamoto sana kujenga deep connection na mtu Sijui ni Mimi tu ambaye naliona hili.
Usifanye ya watu, wala usijaribu kufikiria ya wengine.

Wafikirie wewe kwa mema yako tu.

Wewe fanya yako kwa roho nyeupe bila kujiwekea vizingiti hewa vya kufikiri kuwa unayoyafikiri wewe ndiyo kila mtu anayafikir au ndiyo yupo hivyi unavyofikiri wewe.


Fikiri nema, waza mema, kuwa na nia njema na tenda mema tu.
 
Usifanye ya watu, wala usijaribu kufikiria ya wengine.

Wafikirie wewe kwa mema yako tu.

Wewe fanya yako kwa roho nyeupe bila kujiwekea vizingiti hewa vya kufikiri kuwa unayoyafikiri wewe ndiyo kila mtu anayafikir au ndiyo yupo hivyi unavyofikiri wewe.


Fikiri nema, waza mema, kuwa na nia njema na tenda me
Asante
 
Habari za jioni kwa member wote wa JF

Hivi Sasa Kuna kitu sijaelewa mpaka Sasa Yani naona watu wamekuwa shallow Sana.

Naona Sasa mtu kukutafuta ni mpaka awe na shida au matatizo la sivyo hakuna shobo hata kidogo.

Kila mtu anajiona star au ana act celebrate flani yaani Kila mtu anajiona special hivi.

Sahivi ukiongea na mtu utakuta anaongea yeye tu na mambo yake ni ngumu Sana kukuta mtu anakusikiliza unachoongea na hata akijitahidi kusikiliza unachoongea atakukatisha katikati au utaona usoni kwake anaonyesha dharau japo atajificha.

Kila mtu Sasa na victim yaani yeye ndio amekosewa na onewa ni ngumu Sana kukuta mtu anakubali makosa yake hata Kama ni Iko wazi.

Dunia ya Sasa kwa Ninachokiona ni changamoto sana kujenga deep connection na mtu Sijui ni Mimi tu ambaye naliona hili.
Mambo yanabadilika kwa kasi mno wazee wa siku zijazo tujiandae mapema kukabiliana na life style ya wakati ujao manake social life na staha kwa wazee itakuwa zero kabisa.
 
Back
Top Bottom