Kajunjumelle
JF-Expert Member
- Aug 13, 2024
- 220
- 239
100%✅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hilo kabila ni shida aisee,Pole naona bado hujakutana na wahaya wewe
Usifanye ya watu, wala usijaribu kufikiria ya wengine.Habari za jioni kwa member wote wa JF
Hivi Sasa Kuna kitu sijaelewa mpaka Sasa Yani naona watu wamekuwa shallow Sana.
Naona Sasa mtu kukutafuta ni mpaka awe na shida au matatizo la sivyo hakuna shobo hata kidogo.
Kila mtu anajiona star au ana act celebrate flani yaani Kila mtu anajiona special hivi.
Sahivi ukiongea na mtu utakuta anaongea yeye tu na mambo yake ni ngumu Sana kukuta mtu anakusikiliza unachoongea na hata akijitahidi kusikiliza unachoongea atakukatisha katikati au utaona usoni kwake anaonyesha dharau japo atajificha.
Kila mtu Sasa na victim yaani yeye ndio amekosewa na onewa ni ngumu Sana kukuta mtu anakubali makosa yake hata Kama ni Iko wazi.
Dunia ya Sasa kwa Ninachokiona ni changamoto sana kujenga deep connection na mtu Sijui ni Mimi tu ambaye naliona hili.
AsanteUsifanye ya watu, wala usijaribu kufikiria ya wengine.
Wafikirie wewe kwa mema yako tu.
Wewe fanya yako kwa roho nyeupe bila kujiwekea vizingiti hewa vya kufikiri kuwa unayoyafikiri wewe ndiyo kila mtu anayafikir au ndiyo yupo hivyi unavyofikiri wewe.
Fikiri nema, waza mema, kuwa na nia njema na tenda me
🤣Pole naona bado hujakutana na wahaya wewe
Kweli watu sahivi mahusiano yamekuwa business transactionmaisha hajabadilika isipokuwa this erra when you have nothing to bring on the table no friends anymore.
Mambo yanabadilika kwa kasi mno wazee wa siku zijazo tujiandae mapema kukabiliana na life style ya wakati ujao manake social life na staha kwa wazee itakuwa zero kabisa.Habari za jioni kwa member wote wa JF
Hivi Sasa Kuna kitu sijaelewa mpaka Sasa Yani naona watu wamekuwa shallow Sana.
Naona Sasa mtu kukutafuta ni mpaka awe na shida au matatizo la sivyo hakuna shobo hata kidogo.
Kila mtu anajiona star au ana act celebrate flani yaani Kila mtu anajiona special hivi.
Sahivi ukiongea na mtu utakuta anaongea yeye tu na mambo yake ni ngumu Sana kukuta mtu anakusikiliza unachoongea na hata akijitahidi kusikiliza unachoongea atakukatisha katikati au utaona usoni kwake anaonyesha dharau japo atajificha.
Kila mtu Sasa na victim yaani yeye ndio amekosewa na onewa ni ngumu Sana kukuta mtu anakubali makosa yake hata Kama ni Iko wazi.
Dunia ya Sasa kwa Ninachokiona ni changamoto sana kujenga deep connection na mtu Sijui ni Mimi tu ambaye naliona hili.
Tulikuwa tunayasikia haya mambo Ulaya kumbe yashafika kitaa tayari.Vitu vinathaminiwa kuliko utu