Hivi ni mimi tu ndio nakereka na hii tabia au tupo wengi

Khantwe

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2012
Posts
59,415
Reaction score
119,473
Habari wanaJf, poleni na mapambano dhidi ya corona.

Kwa wale wenzangu na mimi wapenda movie/ tamthiliya mnaweza kuwa mmekaa mnaangalia movie yenu anakuja mtu ambae tayari alishaiangalia anaanza 'hao wanaopigana hapo baadae watakuja kupatana' au ' huyo hapo baadae atakufa'

Hii tabia kiukweli inakera sana unatamani umtie vibao huyo anayeongea maana mimi ukishaniambia hivyo hamu yote ya kuangalia movie inakata. Nianze kuangalia nini tena wakati nimeshajua mbele kinatokea nini?

Halafu hii ipo sana kwa watu wa uswahilini sijui tupoje yaani
 
Sipendi muda wa movie inayoitaji umakini iingine notification ya jf, simu au text


It is never to late to begin. Start now
 
Raha ya kuangalia movie kila mtu awe kimyaa. Sauti ya tv na meno tu yanayotafuna popcorn ndio visikike.
Hahaha ila akiwepo mtu wa kucheka nae inakuwa poa cha muhimu awe mtulivu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…