Hivi ni mimi tu ninayenyimwa tendo la ndoa na Mke wangu? au wengine mpo?

Hakuna ndoa hata moja haijapitia hilo ninkawaida kukutokea kukosena ndio upendo wenyewe unavyo jengwq kuombana msamaha na kupembelezana
 
Kama ana njemba inayomshughulikia huko nje andika umeumia, ila kama hana mbembeleze tu, wanawake ni kitu kidogo tu cha kumfurahisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…