Hivi ni mpuuzi gani aliyewaambia ball boys wa Tanzania kufanya ujinga kama huu wa kurusha mipira miwili miwili uwanjani?

Hivi ni mpuuzi gani aliyewaambia ball boys wa Tanzania kufanya ujinga kama huu wa kurusha mipira miwili miwili uwanjani?

Tena wanarusha mipira mingi hadi inaonekana kabisa ni makusudi. Mpira mmoja wa ziada unatosha kusimamisha mchezo.

Na huu uhuni ni kwenye vilabu siyo kwenye timu za taifa. Shenzi kabisa.
Michuano ya fainali hapa nchini kombe la shirikisho mbinu Kama hizo zilikuwa wapi tena wanafanya wazi wazi kabisa.

Hovyo Sana

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nimefurahi meseji imetumwa CAF kwamba wote tunaweza kukosa ustaarabu bila kujali rangi zetu. Ustaarabu wetu umekuwa ukitumiwa vibaya na waarabu na CAF wako kimya.

Hakuna kitakachobadili matokeo zaidi ya faini kama Niger watalalamika au Mwamuzi ataliweka kwenye ripoti yake,

But all in all message sent.
 
Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha.

Hawa CAF uhuni wanaofanya waarabu wanaunyamazia kimya Tu.

Wale ball boys kule wala hawakuguswa na kuonywa na refa, waliachwa ona kilichotokea hapa refa kawatimua wasogee mbali kabisa.

WEMA USIZIDI UWEZO, ujumbe umewafikia kama ni sheria zikate kotekote maana ni msumeno
 
Mimi nimefurahi meseji imetumwa CAF kwamba wote tunaweza kukosa ustaarabu bila kujali rangi zetu. Ustaarabu wetu umekuwa ukitumiwa vibaya na waarabu na CAF wako kimya.
Hakuna kitakachobadili matokeo zaidi ya faini kama Niger watalalamika au Mwamuzi ataliweka kwenye ripoti yake,
But all in all message sent.
Ingekua kwa waarabu sawa, hawa Niger kuwaonea.
Na hata hivyo mkisema muige waarabu mtashindwa nyiee,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mimi nimefurahi meseji imetumwa CAF kwamba wote tunaweza kukosa ustaarabu bila kujali rangi zetu. Ustaarabu wetu umekuwa ukitumiwa vibaya na waarabu na CAF wako kimya.
Hakuna kitakachobadili matokeo zaidi ya faini kama Niger watalalamika au Mwamuzi ataliweka kwenye ripoti yake,
But all in all message sent.
Tatizo ni kuwa waliofanyiwa vile sio Waarabu, wamefanyiwa watu waungwana wasio na hatia wa historia za fitna za aina hiyo.

Vv
 
Back
Top Bottom