Hivi ni mpuuzi gani aliyewaambia ball boys wa Tanzania kufanya ujinga kama huu wa kurusha mipira miwili miwili uwanjani?

Hii Timu lazima itawagawa Mashabiki Kwa sababu ushabiki wa Simba na Yanga unaangalia mpira na mtu kazi yake kulaumu Timu kisa wachezaji wake anaowataka hawajacheza
 
Tunaongelea timu za taifa braza zinazowakilisha nchi, sasa hao Yanga hata wakifanywa lolote Kwani wanamwakilisha nani zaidi ya kujiwakilisha wenyewe?
Uzuri sheria za mpira ni zile zile hazina timu ya mugosha au inamilikiwa na Kijiji cha kina mugosha au nchi aliyotoka mugosha ni zile zile so tukio la Yanga na Taifa Star yote ni matukio yasiyotakiwa kwenye uwanda wa soka.
 
Nawaunga Mkono.

Ball Boys tutawakumbuka sana tukifuzu.

Next time Yanga na Simba wachukue hili
 
Nilikuwa nawaza tu. Unarusha mpira, wapinzan wanatake advantage ya huo mpira wanakufunga. Kisha refa anaweka kati.

Ule mpira halisi unachukuliwa ndo uliingia kimakosa.
 
Mnao hukuzwa na hicho kitendo wote ni mazwazwa.... unachukia nini wakati ndo mbinu wanazotumia Waarabu na tume wanyama ziara kimya?
 
Nawaunga Mkono.

Ball Boys tutawakumbuka sana tukifuzu.

Next time Yanga na Simba wachukue hili
Kwenye hizi mbinu za mipira kuna mawili yanaweza kufanyika. Moja ni kuficha mipira, mpira ukitoka inachukua muda wapinzani kupata mpira wa kuendelea na mchezo. Ya pili ni hii ya kurusha mipira miwili uwanjani ila inahitaji umakini ili ionekane kama ni bahati mbaya. Kilichofanyika juzi ni uzwazwa wa kiwango cha juu sana.

Angalia vizuri mechi za Simba msimu huu ulioisha sikumbuki mechi gani, labda ilikuwa mechi na Vipers utaona mbinu hiyo ya kuficha mipira ilitumika ila kwa kiasi kidogo.

Hizi mbinu tusitumie kwenye mechi za timu ya taifa, tutajijengea sifa mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…