Thank you mkuu..Sijui nani anapendwa sana, lakini mimi binafsi huwa namkubali sana huyu anaitwa Mzigua90
[emoji9] [emoji9] [emoji9] [emoji9]Naunga mkono hapa..
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Ole wao wale ninaokesha nao kule Pm niwaone wakiwapenda wanawake wengine hapa jukwaani wakati kule wanasema wananipenda mimi.
Niko nawangoja hapa
Shukrani mkuuMzigua! Ni mtu poa sana...
Ahaaaahaaaaa[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Yaani shoga acha tu.
Sijui nikupe password yangu kwa muda ukachungulie.
Yaani wengine mpaka siamini.
Jukwaani wako kimyaaaa....ila pm tunavyokimbizana sasa, kama paka na panya
Hunishindi mimi... Siku nikipata ufree ntamshtua tupige storee mbili tatu!Mi nampendea uchizi wake tu. Ni kati ya watu wanaonikosha sana humu ndani wakiandika
Nasubiri mpaka saa 1:00 mchana kama hawajaja, naanza kutoa lock mmoja mmoja.Ahaaaahaaaaa[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hebu waibue mmoja mmoja hapa jukwaani waache ujinga![emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sawa sawa hapa dawa ya moto ni moto tu!Nasubiri mpaka saa 1:00 mchana kama hawajaja, naanza kutoa lock mmoja mmoja.
Mpaka sasa wamekuja 3 tu
Usiogope Madame hawana ubaya hawaAsante ila avatar yako inanitisha.
Mie naogopa sana nyau
Mtoa mada anatafuta zizi ujue[emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumbe mtoa mada ni mwanaume duh mie nilidhan ni shosti,akhu amkome hajar wetu[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Shosti unaniangusha sasa,kwani hukuona aliposema kafungua huu uzi kwa maslai yake binafsi??
Kwenye hizo story usisahau kinywaji tafadhali. Natumaini tutamuona tuHunishindi mimi... Siku nikipata ufree ntamshtua tupige storee mbili tatu!
Yaan nina hamu ya kuonana nae sana ( kwa mara ya kwanza Wit mimi kutamani kukutana na mtu humu![emoji15] )
Madam B
Lile suala letu mama nakuomba pmNasubiri mpaka saa 1:00 mchana kama hawajaja, naanza kutoa lock mmoja mmoja.
Mpaka sasa wamekuja 3 tu
Aaah jina analotumia sasa khaa sio kabisa