Hivi ni mwanasiasa gani kwa sasa mwenye mvuto na ushawishi zaidi kwa jamii ambaye anastahili kuwa alama ya siasa za Tanzania?

Hivi ni mwanasiasa gani kwa sasa mwenye mvuto na ushawishi zaidi kwa jamii ambaye anastahili kuwa alama ya siasa za Tanzania?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Kama mada inavyojieleza hapo juu, kila nchi kwa nyakati tofauti hujaaliwa kuwa na mwanasiasa au wanasiasa wenye kujaaliwa vipaji vikubwa vya uongozi kiasi cha kugeuka kua kichocheo na hamasa kubwa kwa wanasiasa wanaoibukia na hata wasio wanasiasa. Ndipo nikajiuliza tunao wanasiasa wa namna hiyo kama nchi kwa sasa?
 
Kama mada inavyojieleza hapo juu, kila nchi kwa nyakati tofauti hujaaliwa kuwa na mwanasiasa au wanasiasa wenye kujaaliwa vipaji vikubwa vya uongozi kiasi cha kugeuka kua kichocheo na hamasa kubwa kwa wanasiasa wanaoibukia na hata wasio wanasiasa. Ndipo nikajiuliza tunao wanasiasa wa namna hiyo kama nchi kwa sasa?
1- JK Nyerere

2- JK Kikwete ( Mzalendo, anapendwa naturally tu na wapinzsni, watanzania hata ndani ya CCM kama ilivyo kwa Lowassa )

3- Warioba Sinde ( Mzalendo wa nchi )

4- Dk Slaa ( huyu katumikishwa na Mbowe, kiasi kwamba hivi karibu alikuwa kana kachanganyikiwa baada ya kusalitiwa )

5- Freeman Mbowe ( Huyu biashara ya siasa anaijua vizuri )

6- Edward Lowassa ( anapendwa ndani ya CCM na watanzania, alikuwa akichukiwa na wapinzani kabla ya 2015 )

7- Zitto Kabwe ( huyu ni mgumu sana kumfanya msukule, anachoona mwenyewe ni sahihi kufanya, anatekeleza bila kujali wengine wataonaje )
 
Hawa nawaona wanafaa zaidi : Sabaya, Makonda, Ally Hapi, Alexandre Nyeti, Mwigulu Nchemba, Chalamila na Kassim Majaliwa.
 
Hawa nawaona wanafaa zaidi : Sabaya, Makonda, Ally Hapi, Alexandre Nyeti, Mwigulu Nchemba, Chalamila na Kassim Majaliwa.
Ndio ni kweli walifaa na wao kua alipo baba yao yule alikua anawapa kiburi na kujiita mtukufu..
 
Back
Top Bottom