REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,890
Sijui ni kitu gani kimawasumbua hawa viumbe, hivi buses za BRT kuna company yoyote ya Kenya inayoweza kufanya ile assembling kweli?
Katika pitapita huko tweeter nashangaa wakenya bila soni wanasema waliounda buses zetu baada ya serikali yao wenyewe kutokua na imani nao mpaka kwenda SA kuorder buses za BRT yao ya kuchora.
These folks are dumbest
Katika pitapita huko tweeter nashangaa wakenya bila soni wanasema waliounda buses zetu baada ya serikali yao wenyewe kutokua na imani nao mpaka kwenda SA kuorder buses za BRT yao ya kuchora.
These folks are dumbest