jani JF-Expert Member Joined Aug 8, 2011 Posts 927 Reaction score 1,152 Jan 6, 2019 #41 wanajitoa ufahamu....na sisi si tumewauzia dream liner na landing rights za US!
mkorinto JF-Expert Member Joined Jun 11, 2014 Posts 31,415 Reaction score 38,761 Jan 6, 2019 #42 7 mchana said: Kaka iyo ilikua b4 1970s. Now promo Ndo kila kitu, bax tusubir ukwel WA kuwa mlima kili upo kwetu ujitokeze tu from no where hiriar wenzetu wanautumia vlivo kuingiza kiasi kingi pengine kutushinda sie kupitia sector ya utalii Click to expand... Promo inasimama kwenye ukweli tu,kwenye uongo ni ujinga unafanya sio promo hiyo. Umlete mzungu na story zako za kuunga unga halafu akifika hapa akauliza anapandaje,utanjibu nini!!!! At all utalii kwa sasa tumewaacha mbali sana.
7 mchana said: Kaka iyo ilikua b4 1970s. Now promo Ndo kila kitu, bax tusubir ukwel WA kuwa mlima kili upo kwetu ujitokeze tu from no where hiriar wenzetu wanautumia vlivo kuingiza kiasi kingi pengine kutushinda sie kupitia sector ya utalii Click to expand... Promo inasimama kwenye ukweli tu,kwenye uongo ni ujinga unafanya sio promo hiyo. Umlete mzungu na story zako za kuunga unga halafu akifika hapa akauliza anapandaje,utanjibu nini!!!! At all utalii kwa sasa tumewaacha mbali sana.
Geza Ulole JF-Expert Member Joined Oct 31, 2009 Posts 65,136 Reaction score 91,917 Jan 6, 2019 #43 Yamakagashi said: Kama kale ka binti ka Odinga kalisema Oldupai Gorge ipo Kenya tena wakati anahutubia kwenye Podium za Umoja wa Mataifa ,mnashangaa nini sasa ? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Saahii ni Kipofu!
Yamakagashi said: Kama kale ka binti ka Odinga kalisema Oldupai Gorge ipo Kenya tena wakati anahutubia kwenye Podium za Umoja wa Mataifa ,mnashangaa nini sasa ? Sent using Jamii Forums mobile app Click to expand... Saahii ni Kipofu!
Cicero JF-Expert Member Joined Jan 20, 2016 Posts 2,924 Reaction score 3,074 Jan 7, 2019 #44 They take everything their media feeds them