mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,661
- 1,267
Mkubwa hii kali. Niliwahi kusoma kitabu kinaitwa Blood Rites, moja ya watu walioshukiwa kuwa walitumia sana ushirikina na matambiko ya kutoa watu kafara ni Idd Amini na Mobutu. Sijui viongozi wengine wanafanya nini ila waafrika hatuachi mila bwana.Pamoja na kuwa na dini zinazokataza ushirikina in secrecy tunaufanya kweliNaam,
Mwandishi nadhani kuna kipengele aidha kakiruka kwa makusudi ama hajui au hata ameandika na wachapishaji wakaona wakiweke kapuni.
Katika kundi la Sita basi kasahau kitu. Basi mimi nitaliita kundi la saba.
Kundi la saba na la ajabu ni la waganga wa kienyeji na wapiga ramli. Rais wetu ni mwafrika halisi kwa hiyo hajakumbatia kikweli kweli dini yoyote ya kigeni. Kwa hali hiyo, si vibaya nikisema, kwa uafrika wake ni mfuasi wa siri wa dini za jadi. Hili si tusi, dhambi wala dharau. Nimemshuhudia mwenyewe kwa mazungumzo ya ana kwa ana akihangaika na kulalamika juu ya mnyukano wa dini mbili kubwa hapa nchini (Uislamu na Ukiristo) na kweli haumpi raha hata kidogo.
Anajua jinsi dini hizi mbili zinavyotuhumiana juu ya maamuzi ya rais na serikali yanayozigusa dini hizi mbili. Wakiristo wanadai kwa wazi na sirini kuwa rais anawapendelea waislam wakati waislam nao wakidai wakiristo wanapendekelewa sana na serikali ya rais wetu. Matokeo yake ni rais kukosa msimamo na kubaki kulalamika na kutilia shaka kila ushauri anaopewa na watu watokao pande hizi mbili.
Kuna uvumi wa muda mrefu sasa kuwa rais wetu anapata faraja pale anaposhauriwa na waganga wa kienyeji kwa sababu anaamini hawana mgongano wa maslahi katika dini hizi mbili kuu! Kimantiki na kimsingi hii ni njia nzuri ya kutatua mnyukano wa dini kubwa pale unaposhauriwa na mtu wa tatu au wa katikati.
"Uvumi" huu umeendelea kueleza kuwa katika harakati za kuwasikiliza hawa waganga, rais amejikuta njia panda katika maamuzi mbalimbali. Ushauri wa waganga humfikia rais ama moja kwa moja au kupitia wapambe maalum, lakini utekelezaji wa ushauri huo huonekana kwa njia mbalimbali kama vile tabia sugu ya rais kuchelewa katika matukio mbalimbali na tabia ya rais kutoroka na kwenda sehemu huria kama michezoni. Mara kadhaa ndani na nje ya nchi, rais amekutwa katika maeneo yasiyo rasmi bila maandalizi wala kuwamo katika ratiba. Najua rais ana maisha binafsi lakini ni ruksa kuyahoji hasa yanapoonekana kuwa rasmi kwa kuwa yanatokea mara kwa mara.
Inasemekana kuwa kwa ushauri wa waganga rais pia amejikuta katika misiba, mazishi, kutembelea wagonjwa nyumbani na hospitali, sherehe za harusi, na hafla za asasi za kiraia zenye utata. Imesikika pia waganga hawa ndiyo wanaosikilizwa hata katika masuala ya afya yake kuliko hata madaktari wa ndani na nje ya nchi.
Eneo hili limejaa uvumi, umbeya na maneno ya mitaani yanayochangamsha mabaraza na vijiwe, lakini cha msingi na kinachogomba ni pale yanayosemwa yanapofanana na yanayosemwa. Ikiwa uvumi huu au sehemu yake ina ukweli, basi kundi hili ndilo pekee linalomshauri mheshimiwa rais katika mambo mengi na kwa hiyo ndilo limeshikiliwa mustakabali wa taifa letu kwa sasa.
Katika mazingira ambamo makundi mengine yamenyamazishwa, salama yetu iko wapi tunapokuwa mikononi mwa hawa washauri ambao ushauri wao haujapimwa na chombo chochote kinachojulikana?
Pimbi
Kusoma hadi Havard maana yake nini?? Hivi Mzee wa Vijisenti si naye alipitia huko na alikuwa mshauri wa Raisi na serikali kwa ujumla kwa masuala ya sheria. Sasa as Taifa tulifaidika nini kutoka huko Havard zaidi ya kulaghaiwa na kuibiwa????????? What the f`~^&%*k is Havard???
Hakuna cha Havard, Makelele, UDSM and whatever, SISIEMU na serikali yake have to go coz wamesahau mwajiri wao ni nani.
Mwandishi Maalum
Septemba 23, 2009
Rais Jakaya Kikwete
Kundi la tatu la washauri
Kundi la tatu ambalo humshauri Rais kwa masuala mazito ni Idara ya Usalama wa Taifa. Tangu Rais Kikwete aingie Ikulu idara hii imekumbwa na matatizo makubwa mawili. Kwanza, historia yake na Rais huyu ni ya shaka, kwa sababu inadaiwa kuwa idara hii "haikumtaka" kuwa kati ya wagombea.
Kuna madai kwamba taarifa maalumu iliyoandaliwa na Idara kuhusu mgombea ambaye ni Rais wa sasa, haikuwa "nzuri" japo haikufuatwa na vikao vya chama.
Wengine wamedai kuwa hayo madai si chochote bali ni uzushi tu, lakini wengine wanahoji kuwa kama ni uzushi, basi hiyo ni hatari zaidi kama Idara hii haikuandika taarifa hiyo kwa jinsi ambavyo wana Mtandao walikuwa wanafanya rafu za awali katika mchakato.
hivi January Makamba zaidi ya kuaandaa hotuba za raisi anayo kazi pia ya kumshauri muungwaana???Dah jamaa kachambua kweli kweli wapambe wa January mwambie alitafute gazeti hilo alisome.
Naam,
Mwandishi nadhani kuna kipengele aidha kakiruka kwa makusudi ama hajui au hata ameandika na wachapishaji wakaona wakiweke kapuni.
Katika kundi la Sita basi kasahau kitu. Basi mimi nitaliita kundi la saba.
Kundi la saba na la ajabu ni la waganga wa kienyeji na wapiga ramli. Rais wetu ni mwafrika halisi kwa hiyo hajakumbatia kikweli kweli dini yoyote ya kigeni. Kwa hali hiyo, si vibaya nikisema, kwa uafrika wake ni mfuasi wa siri wa dini za jadi. Hili si tusi, dhambi wala dharau. Nimemshuhudia mwenyewe kwa mazungumzo ya ana kwa ana akihangaika na kulalamika juu ya mnyukano wa dini mbili kubwa hapa nchini (Uislamu na Ukiristo) na kweli haumpi raha hata kidogo.
Anajua jinsi dini hizi mbili zinavyotuhumiana juu ya maamuzi ya rais na serikali yanayozigusa dini hizi mbili. Wakiristo wanadai kwa wazi na sirini kuwa rais anawapendelea waislam wakati waislam nao wakidai wakiristo wanapendekelewa sana na serikali ya rais wetu. Matokeo yake ni rais kukosa msimamo na kubaki kulalamika na kutilia shaka kila ushauri anaopewa na watu watokao pande hizi mbili.
Kuna uvumi wa muda mrefu sasa kuwa rais wetu anapata faraja pale anaposhauriwa na waganga wa kienyeji kwa sababu anaamini hawana mgongano wa maslahi katika dini hizi mbili kuu! Kimantiki na kimsingi hii ni njia nzuri ya kutatua mnyukano wa dini kubwa pale unaposhauriwa na mtu wa tatu au wa katikati.
"Uvumi" huu umeendelea kueleza kuwa katika harakati za kuwasikiliza hawa waganga, rais amejikuta njia panda katika maamuzi mbalimbali. Ushauri wa waganga humfikia rais ama moja kwa moja au kupitia wapambe maalum, lakini utekelezaji wa ushauri huo huonekana kwa njia mbalimbali kama vile tabia sugu ya rais kuchelewa katika matukio mbalimbali na tabia ya rais kutoroka na kwenda sehemu huria kama michezoni. Mara kadhaa ndani na nje ya nchi, rais amekutwa katika maeneo yasiyo rasmi bila maandalizi wala kuwamo katika ratiba. Najua rais ana maisha binafsi lakini ni ruksa kuyahoji hasa yanapoonekana kuwa rasmi kwa kuwa yanatokea mara kwa mara.
Inasemekana kuwa kwa ushauri wa waganga rais pia amejikuta katika misiba, mazishi, kutembelea wagonjwa nyumbani na hospitali, sherehe za harusi, na hafla za asasi za kiraia zenye utata. Imesikika pia waganga hawa ndiyo wanaosikilizwa hata katika masuala ya afya yake kuliko hata madaktari wa ndani na nje ya nchi.
Eneo hili limejaa uvumi, umbeya na maneno ya mitaani yanayochangamsha mabaraza na vijiwe, lakini cha msingi na kinachogomba ni pale yanayosemwa yanapofanana na yanayosemwa. Ikiwa uvumi huu au sehemu yake ina ukweli, basi kundi hili ndilo pekee linalomshauri mheshimiwa rais katika mambo mengi na kwa hiyo ndilo limeshikiliwa mustakabali wa taifa letu kwa sasa.
Katika mazingira ambamo makundi mengine yamenyamazishwa, salama yetu iko wapi tunapokuwa mikononi mwa hawa washauri ambao ushauri wao haujapimwa na chombo chochote kinachojulikana?
Pimbi
Source: Raia Mwema
Ugumu wa kumshauri Rais Kikwete
Mwandishi Maalumu
Septemba 30, 2009
Guys,Naam,
Mwandishi nadhani kuna kipengele aidha kakiruka kwa makusudi ama hajui au hata ameandika na wachapishaji wakaona wakiweke kapuni.
Katika kundi la Sita basi kasahau kitu. Basi mimi nitaliita kundi la saba.
Kundi la saba na la ajabu ni la waganga wa kienyeji na wapiga ramli. Rais wetu ni mwafrika halisi kwa hiyo hajakumbatia kikweli kweli dini yoyote ya kigeni. Kwa hali hiyo, si vibaya nikisema, kwa uafrika wake ni mfuasi wa siri wa dini za jadi. Hili si tusi, dhambi wala dharau. Nimemshuhudia mwenyewe kwa mazungumzo ya ana kwa ana akihangaika na kulalamika juu ya mnyukano wa dini mbili kubwa hapa nchini (Uislamu na Ukiristo) na kweli haumpi raha hata kidogo.
Anajua jinsi dini hizi mbili zinavyotuhumiana juu ya maamuzi ya rais na serikali yanayozigusa dini hizi mbili. Wakiristo wanadai kwa wazi na sirini kuwa rais anawapendelea waislam wakati waislam nao wakidai wakiristo wanapendekelewa sana na serikali ya rais wetu. Matokeo yake ni rais kukosa msimamo na kubaki kulalamika na kutilia shaka kila ushauri anaopewa na watu watokao pande hizi mbili.
Kuna "uvumi" wa muda mrefu sasa kuwa rais wetu anapata faraja pale anaposhauriwa na waganga wa kienyeji kwa sababu anaamini hawana mgongano wa maslahi katika dini hizi mbili kuu! Kimantiki na kimsingi hii ni njia nzuri ya kutatua mnyukano wa dini kubwa pale unaposhauriwa na mtu wa tatu au wa katikati.
"Uvumi" huu umeendelea kueleza kuwa katika harakati za kuwasikiliza hawa waganga, rais amejikuta njia panda katika maamuzi mbalimbali. Ushauri wa waganga humfikia rais ama moja kwa moja au kupitia wapambe maalum, lakini utekelezaji wa ushauri huo huonekana kwa njia mbalimbali kama vile tabia sugu ya rais kuchelewa katika matukio mbalimbali na tabia ya rais kutoroka na kwenda sehemu huria kama michezoni. Mara kadhaa ndani na nje ya nchi, rais amekutwa katika maeneo yasiyo rasmi bila maandalizi wala kuwamo katika ratiba. Najua rais ana maisha binafsi lakini ni ruksa kuyahoji hasa yanapoonekana kuwa rasmi kwa kuwa yanatokea mara kwa mara.
Inasemekana kuwa kwa ushauri wa waganga rais pia amejikuta katika misiba, mazishi, kutembelea wagonjwa nyumbani na hospitali, sherehe za harusi, na hafla za asasi za kiraia zenye utata. Imesikika pia waganga hawa ndiyo wanaosikilizwa hata katika masuala ya afya yake kuliko hata madaktari wa ndani na nje ya nchi.
Eneo hili limejaa "uvumi", umbeya na maneno ya mitaani yanayochangamsha mabaraza na vijiwe, lakini cha msingi na kinachogomba ni pale yanayosemwa yanapofanana na yanayosemwa. Ikiwa uvumi huu au sehemu yake ina ukweli, basi kundi hili ndilo pekee linalomshauri mheshimiwa rais katika mambo mengi na kwa hiyo ndilo limeshikiliwa mustakabali wa taifa letu kwa sasa.
Katika mazingira ambamo makundi mengine yamenyamazishwa, salama yetu iko wapi tunapokuwa mikononi mwa hawa washauri ambao ushauri wao haujapimwa na chombo chochote kinachojulikana?
Pimbi
jamani ni kwa nini mnasema kana akili kuliko watanzania wote la hasha napinga tena napinga sana ,
Kuna baadhi hawajapata nafasi tu ya kuonyesha ukomavu wao wa mawazo
mambo yake kama ya Bulicheka????????Du haka kajamaa katakuwa ni ka-super genius flani hivi.
Du haka kajamaa katakuwa ni ka-super genius flani hivi.
Guys,
You thought I was wrong?