Pre GE2025 Hivi ni sababu gani zinafanya tusitumie Vitambulisho vya Mpiga Kura vya kawaida vya INEC kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa?

Pre GE2025 Hivi ni sababu gani zinafanya tusitumie Vitambulisho vya Mpiga Kura vya kawaida vya INEC kwenye chaguzi za Serikali za Mitaa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

The Palm Beach

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2015
Posts
1,967
Reaction score
4,267
1. Ni kwanini kama nchi tunaingia gharama mara mbili kufanya zoezi Moja linalofanana? Hii tunayoambiwa kuwa ni Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa (INEC) waliandikisha/fanya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura nchi nzima wiki chache zilizopita.

2. Cha ajabu TAMISEMI ya Mchengerwa na Samia Suluhu Hassan nayo imeanza kufanya zoezi hilohilo la eti kuandikisha wapiga kura walewale tena ktk, vituo vilevile vilivyotumiwa na INEC na ktk maeneo yaleyale na watu walewale...!

3. Kwanini tusumbiliwe kuandikishwa kwa mara ya pili tena...?

4. Vitambulisho vya mpiga kura vya Tume ya uchaguzi ya Taifa vina kasoro gani kutumika kuchagua viongozi wa vijiji, mitaa na vitongoji..?

5. KASORO KUBWA KTK UANDIKISHAJI WA TAMISEMI:

#Kwanza uandikishaji unafanyika kienyeji sana na ni rahisi sana daftari kuwa forged kwa kuingizwa kwa majina bandia na siku ya kupiga kura yakapiga kura pia...

#Kinachofanyika kwenye vituo vya uandikishaji wapiga kura wa TAMISEMI ya Mchengerwa (Mkwe wa Samia Suluhu Hassan) kila mtu akifika kwa mwandikishaji

✓ Kutaja majina yake matatu

✓ Umri wake

✓ Sahihi yake, basi

#Hakuna cha picha wala nini japo maeneo mengine nasikia waandikishaji wanaomba ID za NIDA...

KWA MAONI YANGU:

Hii haikustahili kufanyika hivi. Hakuna shida wala ubaya kutumia daftari la kudumu la wapiga kura la INEC na watu tukapiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa...

Hii ingeokoa gharama ya mabilioni ya pesa yanayotumika sasa na pesa zingeweza kutumika kwa shughuli zingine za MAENDELEO...
 
Unaofanyika ni uboreshaji kuna watu wamehama makazi, wapo pia waliopoteza vitambulisho vyao na wapo waliofika umri sahihi wa kupiga kura yaani miaka 18.
Ila kama hujahama makazi na kitambulisho unacho utatumia hicho hicho unacho takiwa ni kwenda kuhakiki kwamba utakuwepo tu.
 
Unaofanyika ni uboreshaji kuna watu wamehama makazi, wapo pia waliopoteza vitambulisho vyao na wapo waliofika umri sahihi wa kupiga kura yaani miaka 18.
Ila kama hujahama makazi na kitambulisho unacho utatumia hicho hicho unacho takiwa ni kwenda kuhakiki kwamba utakuwepo tu.
Elewa mkuu,ndo umjibu mleta mada.
 
Unaofanyika ni uboreshaji kuna watu wamehama makazi, wapo pia waliopoteza vitambulisho vyao na wapo waliofika umri sahihi wa kupiga kura yaani miaka 18.
Ila kama hujahama makazi na kitambulisho unacho utatumia hicho hicho unacho takiwa ni kwenda kuhakiki kwamba utakuwepo tu.
Wewe haujashiriki bora ungenyamaza kuliko kutuambia unachofikiria wewe. Shut up!
 
1. Ni kwanini kama nchi tunaingia gharama mara mbili kufanya zoezi Moja linalofanana? Hii tunayoambiwa kuwa ni Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa (INEC) waliandikisha/fanya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura nchi nzima wiki chache zilizopita.

2. Cha ajabu TAMISEMI ya Mchengerwa na Samia Suluhu Hassan nayo imeanza kufanya zoezi hilohilo la eti kuandikisha wapiga kura walewale tena ktk, vituo vilevile vilivyotumiwa na INEC na ktk maeneo yaleyale na watu walewale...!

3. Kwanini tusumbiliwe kuandikishwa kwa mara ya pili tena...?

4. Vitambulisho vya mpiga kura vya Tume ya uchaguzi ya Taifa vina kasoro gani kutumika kuchagua viongozi wa vijiji, mitaa na vitongoji..?

5. KASORO KUBWA KTK UANDIKISHAJI WA TAMISEMI:

#Kwanza uandikishaji unafanyika kienyeji sana na ni rahisi sana daftari kuwa forged kwa kuingizwa kwa majina bandia na siku ya kupiga kura yakapiga kura pia...

#Kinachofanyika kwenye vituo vya uandikishaji wapiga kura wa TAMISEMI ya Mchengerwa (Mkwe wa Samia Suluhu Hassan) kila mtu akifika kwa mwandikishaji

✓ Kutaja majina yake matatu

✓ Umri wake

✓ Sahihi yake, basi

#Hakuna cha picha wala nini japo maeneo mengine nasikia waandikishaji wanaomba ID za NIDA...

KWA MAONI YANGU:

Hii haikustahili kufanyika hivi. Hakuna shida wala ubaya kutumia daftari la kudumu la wapiga kura la INEC na watu tukapiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa...

Hii ingeokoa gharama ya mabilioni ya pesa yanayotumika sasa na pesa zingeweza kutumika kwa shughuli zingine za MAENDELEO...
Kuna mdau katuma humu picha ya mdau aliye umizwa na wana CCM waliokuwa wanaingiza majina ya wapiga kura kwenye.daftari la wapiga kura, hapo akili za mbayuwayu changanya na yakwako
 
Unaofanyika ni uboreshaji kuna watu wamehama makazi, wapo pia waliopoteza vitambulisho vyao na wapo waliofika umri sahihi wa kupiga kura yaani miaka 18.
Ila kama hujahama makazi na kitambulisho unacho utatumia hicho hicho unacho takiwa ni kwenda kuhakiki kwamba utakuwepo tu.
Kinachofanywa na TAMISEMI wala si uboreshaji bali ni kuandikishwa upya kabisa...

Waliokuwa wanafanya uboreshaji ni Tume ya uchaguzi ya Taifa...

Na hii ndo kusema kuwa uandikishwaji uliofanywa na TAMISEMI mwaka 2019, daftari lake lili - expire mara baada ya uchaguzi huo...
 
Kuna mdau katuma humu picha ya mdau aliye umizwa na wana CCM waliokuwa wanaingiza majina ya wapiga kura kwenye.daftari la wapiga kura, hapo akili za mbayuwayu changanya na yakwako
Ndiyo maana yake...

Huu uandikishaji hauna credibility yoyote...

Ni uandikishaji unaofanyika kienyeji sana na uwezekano wa kuingizwa wapiga kura hewa ni zaidi ya 100%...

Hii ndiyo mbinu ya CCM ya kupata ushindi kwa hila na ulaghai tu..

Pamoja na kuwa, CCM inafanya kila hila kushinda mitaa na vijiji vingi mwaka huu, wananchi tukiamka na kuwadhibiti, hawatashinda...!
 
1. Ni kwanini kama nchi tunaingia gharama mara mbili kufanya zoezi Moja linalofanana? Hii tunayoambiwa kuwa ni Tume Huru ya Uchaguzi ya Taifa (INEC) waliandikisha/fanya uboreshaji wa daftari la kudumu la wapiga kura nchi nzima wiki chache zilizopita.

2. Cha ajabu TAMISEMI ya Mchengerwa na Samia Suluhu Hassan nayo imeanza kufanya zoezi hilohilo la eti kuandikisha wapiga kura walewale tena ktk, vituo vilevile vilivyotumiwa na INEC na ktk maeneo yaleyale na watu walewale...!

3. Kwanini tusumbiliwe kuandikishwa kwa mara ya pili tena...?

4. Vitambulisho vya mpiga kura vya Tume ya uchaguzi ya Taifa vina kasoro gani kutumika kuchagua viongozi wa vijiji, mitaa na vitongoji..?

5. KASORO KUBWA KTK UANDIKISHAJI WA TAMISEMI:

#Kwanza uandikishaji unafanyika kienyeji sana na ni rahisi sana daftari kuwa forged kwa kuingizwa kwa majina bandia na siku ya kupiga kura yakapiga kura pia...

#Kinachofanyika kwenye vituo vya uandikishaji wapiga kura wa TAMISEMI ya Mchengerwa (Mkwe wa Samia Suluhu Hassan) kila mtu akifika kwa mwandikishaji

✓ Kutaja majina yake matatu

✓ Umri wake

✓ Sahihi yake, basi

#Hakuna cha picha wala nini japo maeneo mengine nasikia waandikishaji wanaomba ID za NIDA...

KWA MAONI YANGU:

Hii haikustahili kufanyika hivi. Hakuna shida wala ubaya kutumia daftari la kudumu la wapiga kura la INEC na watu tukapiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa...

Hii ingeokoa gharama ya mabilioni ya pesa yanayotumika sasa na pesa zingeweza kutumika kwa shughuli zingine za MAENDELEO...
Hilo daftari la INEC halioneshi mtaa/ kitongoji anachotoka mpiga kura. Ni daftari la kata kwa ajili ya uchaguzi wa diwani wa kata, mbunge na rais.

Hili daftari la mtaa ni kwa wakazi wa mtaa/ kitongoji husika pekee kwa ajili ya uchaguzi wa viongozi wa mtaa wao. Ni daftari dogo sana la orodha ya wakazi wa mtaa husika ambao idadi yao kwa kawaida huwa haifiki hata watu mia moja ie nyumba 100. Lingeweza pia kutumika kuchagua viongozi wa nyumba kumi.
 
Back
Top Bottom