Hivi ni sahihi,kujenga urafiki na mtu ambaye zamani alikua anatembea na mchumba ako..

Hivi ni sahihi,kujenga urafiki na mtu ambaye zamani alikua anatembea na mchumba ako..

Sioni ajabu kwa sababu kabla ya ndoa kila mtu anakuwa na mahusiano mengi na si kila mahusiano lazima kila mmoja awajue wahusike! Mbona wengi siku hizi ndio wanakuwa kwenye kamati za maandalizi ya harusi!!!!????

With hidden intentions; Eti yale yalikuwa ni zamani! Ngumu sana kwetu ngozi nyeusi! Huku nikujiweka jirani na majaribu! na kwa kweli kama wewe umeendekeza hii tabia basi umemkosea vilivyo mwenzi wako; na kama wewe ni rafiki wa muhusika basi wewe umesaidia kuiharibu ndoa ya wenzenu!

Kwa nini tunakubali kuchamgamana na dhambia namna hii? yaani unajua kuwa ni x na wamebreak cjui bado wanaendelea chinichini halafu mnawapa na kamati za harusi; kuna harusi imedumu miezi m2 na ni matokeo ya mchezo huu! Sisi tujua uchafu huu na kuufunika ni collaborators na hakika hukumu yetu inatusubiri! kwa kuwa tumemchezea Mungu na kuikebehi sacrament takatifu ya ndoa!
 
Atakua anajilia taraaaaaaaaaatiiiiiiiibu....
Usiintatein ishu za namna hiyo...
Mwone kama shosti mwingine sio awe swahiba...
 
yani ni hivi siujui ukweli ila i think kila mtu alitongozwa kwa mda wake....then wote tukawa bila kujua....halafu mi nilipogundua ananicheat nikamuacha lakini he said ananipenda na ni kwelei akawa na mimi co yule girl mwingine aliendelea na maisha yake na watu wengine..... its almost five years nau.....and i think she wants to be my friend coz sms haiishi....manaendeleaje mpo.....how is u.....hjiki na kile......namjibu ila am not sure kwamb she can be my friend.....nsije nkaibua uhusiano uliokufa hichi ndo nachoogopa.....
Wewe endelea kucheka na nyani shambani, lakini jiandae kuvuna mabua, upo hapo? Itakula kwako!
 
sina uhakika ila nauliza kama ni sahihi kua na urafiki na mtu ambaye zamani alikua anatoka na mchumba,mke au mume wako......hivi inawezekana kweli kukajengeka urafiki hapo....

Labda kama huutaki huo urafiki kwa sababu nyingine lakini sio ati kwa kufanya hivyo kutamzuia mumeo kumrudia huyo binti (kama bado!) au huyo binti kukuibia mumeo. Yote hayo mawili yanawezekana regardless kama una urafiki na huyo binti au la........na tena labda akiwa rafiki yako kidogo anaweza kusita au kukuonea huruma kukuibia! 'Mchawi mpe mtoto alee'!
 
It is possible, inategemea kuwa uhusiano wenu mliumaliza kwa namna gani. Mimi nina experience inayotaka kufanana na hiyo. Kuna X-wangu ambaye nilikuwa naye kabla sijaoa. Baadaye niliamua kuoa mwingine,na yule niliyemuoa alikuwa hafahamiani na x-wangu, na baada ya kuoa yule x-wangu alichukia sana, lakini baada ya kama mwaka hivi alianza kujenga urafiki na wife wangu na alisema hatamwambia chochote. Mpaka leo wale watu ni marafiki sana, lakini mimi sina uhusiano wowote na yule x-wangu ila yeye ameridhika na wanasaidiana na wife kwa mambo mengi na marafiki wa karibu mpaka kesho. Na urafiki wao umedumu toka mwaka 2006 hadi leo ingawa yule x-wangu bado hajaolewa.
 
kata maisha yako yote usitake kumjua mtu wa aina iyo couse itakuuma sana
utataka kuanza kujilinganisha naye ile kimya kimya kitu ambacho akiwezi saidia
na cku mkikutana kwenye vyoo vyetu vya bar ukaiona pipe ya mshikaji'alafu
ukaiona ni kubwa zaid kuliko ya kwako,alaf ukarudisha feelings zko nyuma
ukute kuna cku wife ashakuambiaga aumtoshelez/Utafikiria nini apo?????????:tape:
 
sina uhakika ila nauliza kama ni sahihi kua na urafiki na mtu ambaye zamani alikua anatoka na mchumba,mke au mume wako......hivi inawezekana kweli kukajengeka urafiki hapo....
Hakiwezekani ais ukimsogeza karibu umerudisha mahusiano
 
Mmmmmhapana aisee itakua ngumu kwa kweli siezi
 
i dont think you two share same feelings with each other
Hence hapo hamna friendship kuna hidden motives on one side
True friends will talk openly wala huwezi feel kama text msgs zimekua nyingi and you will be happy to read and reply
 
It is possible, inategemea kuwa uhusiano wenu mliumaliza kwa namna gani. Mimi nina experience inayotaka kufanana na hiyo. Kuna X-wangu ambaye nilikuwa naye kabla sijaoa. Baadaye niliamua kuoa mwingine,na yule niliyemuoa alikuwa hafahamiani na x-wangu, na baada ya kuoa yule x-wangu alichukia sana, lakini baada ya kama mwaka hivi alianza kujenga urafiki na wife wangu na alisema hatamwambia chochote. Mpaka leo wale watu ni marafiki sana, lakini mimi sina uhusiano wowote na yule x-wangu ila yeye ameridhika na wanasaidiana na wife kwa mambo mengi na marafiki wa karibu mpaka kesho. Na urafiki wao umedumu toka mwaka 2006 hadi leo ingawa yule x-wangu bado hajaolewa.
Lolll!!!nadra sana hii,,,huyo x hana moyo eee
Wewe endelea kucheka na nyani shambani, lakini jiandae kuvuna mabua, upo hapo? Itakula kwako!
 
Km wewe anakuuliza uliza hvyo, unadhan huyo mumeo anaulizwa nini?! Shtuka
 
Back
Top Bottom