Hivi ni sahihi kutoka kimapenzi na huyu binamu yangu?

Hivi ni sahihi kutoka kimapenzi na huyu binamu yangu?

Sharobaro la jf

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2020
Posts
237
Reaction score
325
Wakuu nauliza tu kama una binamu wa kike mkali sana anaonyesha dalili za kukutaka kimapenzi, ni sahihi kuwa naye kimapenzi hau? Maana kuna binamu yangu hapa kazidi mazoea nataka kuwa naye
 
We mpole sana yani hadi umekuja kuuliza hebu pitia ule Uzi wa rikiboy uone watu walivyokula watoto wa baba zao wadogo

Ukitaka kula hakikisha una njaa na hakikisha ni mkali kweli usije chafua damu kwa mtu wa kawaida sana
 
Hata kama historia inaonyesha kua sisi sote ni ndugu lakini kati ya kitu nisichoweza ni kama hicho,wanawake/wanaume wako wangapi mpaka nikawe na mtoto wa shangazi au mjomba ilihali hao wote ni wazazi?ni upuuzi na uchafu tu

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
 
Kuna mmoja naye alikua ana nyuzi za hivi juzi kwenye uzi wa kula kimasikhara akakiri kwamba yeye ni punga na siku ya kwanza aliliwa kimasikhara.

Twende tu
 
Hata kama historia inaonyesha kua sisi sote ni ndugu lakini kati ya kitu nisichoweza ni kama hicho,wanawake/wanaume wako wangapi mpaka nikawe na mtoto wa shangazi au mjomba ilihali hao wote ni wazazi?ni upuuzi na uchafu tu

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature

You are good.

Yaani watu mashetani basi tu...of all people akatembee na nduguye...kisa ukali.....halafu huwa najiuliza hao wakali huwa wanaladha tofauti ya penzi? Au ndio imani tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom