Hivi ni sahihi kutoka kimapenzi na huyu binamu yangu?

Hivi ni sahihi kutoka kimapenzi na huyu binamu yangu?

Hata kama historia inaonyesha kua sisi sote ni ndugu lakini kati ya kitu nisichoweza ni kama hicho,wanawake/wanaume wako wangapi mpaka nikawe na mtoto wa shangazi au mjomba ilihali hao wote ni wazazi?ni upuuzi na uchafu tu

JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
Kikwetu (WAHAYA) tunaamini mtoto wa shangazi ni mwanao yaani inabidi akuite mjomba au mama mdogo kwani wewe na mama yake ( shangazi) ni ukoo mmoja!! Hivyo hivyo kwa watoto wa mjomba, wa kike ni mama mdogo na wa kiume ni wajomba kwani wana ukoo wa mama yako
 
duuuuu cjajua kama ni halali au laaa kama kabira lenu linaruhusu pambana naye mjomba
 
Threads za mwaka 2100 huku jamiiforum zitakuwa na kichwa cha habari kinachosomeka hivi: "Ni sahihi kwa mimi mwanaume kuingiliwa kinyume na maumbile?"
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

na ndizo zinazokuja. ila ukifungua thread yenye umuhimu zinafutwa

na zinapigiwa chapuo ni hizi hizi, umalaya, ngono, kulala na dada mtu, shangazi, binamu, kufanya ngono kimasihara n.k

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom