Chizi Jambazi
JF-Expert Member
- Sep 22, 2017
- 1,769
- 1,379
Unaulizia maembe KisijuWakuu nauliza tu kama una binamu wa kike mkali sana anaonyesha dalili za kukutaka kimapenzi, ni sahihi kuwa naye kimapenzi hau? Maana kuna binamu yangu hapa kazidi mazoea nataka kuwa naye
Kikwetu (WAHAYA) tunaamini mtoto wa shangazi ni mwanao yaani inabidi akuite mjomba au mama mdogo kwani wewe na mama yake ( shangazi) ni ukoo mmoja!! Hivyo hivyo kwa watoto wa mjomba, wa kike ni mama mdogo na wa kiume ni wajomba kwani wana ukoo wa mama yakoHata kama historia inaonyesha kua sisi sote ni ndugu lakini kati ya kitu nisichoweza ni kama hicho,wanawake/wanaume wako wangapi mpaka nikawe na mtoto wa shangazi au mjomba ilihali hao wote ni wazazi?ni upuuzi na uchafu tu
JAH Rastafari Morning Africa.Trust JAH respect nature
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Threads za mwaka 2100 huku jamiiforum zitakuwa na kichwa cha habari kinachosomeka hivi: "Ni sahihi kwa mimi mwanaume kuingiliwa kinyume na maumbile?"