Hivi ni sahihi kuumia kwa ajili ya penzi la mchepuko?

Hivi ni sahihi kuumia kwa ajili ya penzi la mchepuko?

Hii kitu inanikumbusha mshkaji wangu flan alinisimulia kuwa kuna manzi alikuwa anamtosa kumpa mzigo kumbe mdada mgonjwa yaani jamaa anafanya kila kitu ila akitaka kuchukua kuchomeka yaani manzi anakuwa mkali na issue zinaishia hewani hapo hapo ila kuna siku manzi akamchana mshkaji kuwa mm naumwa ndiyo maana nakubania nimekuona ni mtu mwema kwangu so sijataka kukuumiza!! Manzi akamshauri jamaa, usimuamini kila demu unayekutana.... jamaa alipoa na manzi akanywa dawa mbele ya mshkaji kumuonyesha ni true alichomwambia na vyeti juu, so MUNGU akiwa kazini tuwe wapole........
 
Wakuu mimi nina mke na nina watoto na mke wangu. Pia nina mwanamke mwingine nilizaa naye. Mkipitia nyuzi zangu za nyuma nilishalileta kwenu hili swala, na mlinishauri vizuri tu. Kwa kukumbushia kwa wale ambao hawakusoma uzi wangu, ni kwamba huyu sijui nimuite mchepuko, japo huwa sijisikii vizuri kumwita mchepuko maana ni mama wa mwanangu, nimedumu naye kwa miaka minne. Mwaka jana niligundua anatoka na mwanaume mwingine nikaamua kuachana naye. Nikahamishia mapenzi yote kwa wife. Furaha ndani ya ndoa ikarudi. Wife akawa ni mtu mwenye furaha sana. Miezi minne baada ya kumwacha huyu mzazi mwenzangu alinitafuta. Aliniomba msamaha na kuniomba turudiane. Alinielezea jinsi alivyotendwa na jamaa. Japo nilikuwa mzito kukubali kumrudia nikikumbuka maumivu aliyonisababishia, ila baada ya kufikiria vizuri, na kukumbuka tulikotoka nikaona acha tu nipashe kiporo, isitoshe pia nina mke hivyo haina haja ya kumuonea wivu mwanamke ambaye sio mke wangu. Tumeendelea kuwa pamoja kwa muda wa miezi saba hivi tokea turudiane japo migogoro ya hapa na pale imekuwa ikijitokeza. Hivi karibuni huyu mwanamke ameanza tabia ya kukataa kufanya mapenzi. Mnaweza kupanga siku flani mkutane mfanye yenu lakini siku ikifika analeta visingizio. Hali hii imepelekea niamue kuachana naye japo kiuhalisia naona yeye ndio ameamua kuniacha, maana kama hataki kufanya mapenzi anategemea nini. Kwa hiyo nimekata shauri nimwache tu maana naona kama nimekuwa mtumwa wa mapenzi, nimekuwa mtu wa kumbembeleza kila mara ili tufanye mapenzi ila yeye hata hajali. Tatizo roho inaniuma kweli, akili haifanyi kazi kabisa, najihisi nimepata msongo wa mawazo. Hamu ya kula sina na kila kitu naona hakiendi kabisa. Najitahidi kuchangamka humu ndani ili wife asihisi kama kuna kitu kinanisumbua. Wanaume wenzangu, hivi hali hii ya kuzama kwenye penzi la mzazi mwenzako inakuwaje? Naomba mnishauri namna nzuri ya kusonga na maisha, mwenzenu napata tabu.
Kinachokuuuma hapo,ni NAFSI.unajihis kama umemkosea,hauko na aman,nenda mtoe out mchepuko/mzaz mwenza...alaf mpe pipe ya maaana haijawah tokea,then ukimaliza hapo kama kimnyaaa usimtafute tena.Ataanza kujirud yeye na wewe utakuwa stress free....ukifanya hvyo basi hata kama AMEKUWEKEA TEGO,AU DAWA ITAISHA NGUVU...maaana roho yake itashiba kwa upendo uliomshibisha kwa Outings nzuri,chakula kizuri na pipe ya nguvu.Thanks me later
 
Wanaume ndio maana mnakufaga siku si zenu loh
 
.
Screenshot_20201220-183618_Instagram.jpg
 
Wakuu mimi nina mke na nina watoto na mke wangu. Pia nina mwanamke mwingine nilizaa naye. Mkipitia nyuzi zangu za nyuma nilishalileta kwenu hili swala, na mlinishauri vizuri tu. Kwa kukumbushia kwa wale ambao hawakusoma uzi wangu, ni kwamba huyu sijui nimuite mchepuko, japo huwa sijisikii vizuri kumwita mchepuko maana ni mama wa mwanangu, nimedumu naye kwa miaka minne. Mwaka jana niligundua anatoka na mwanaume mwingine nikaamua kuachana naye. Nikahamishia mapenzi yote kwa wife. Furaha ndani ya ndoa ikarudi. Wife akawa ni mtu mwenye furaha sana. Miezi minne baada ya kumwacha huyu mzazi mwenzangu alinitafuta. Aliniomba msamaha na kuniomba turudiane. Alinielezea jinsi alivyotendwa na jamaa. Japo nilikuwa mzito kukubali kumrudia nikikumbuka maumivu aliyonisababishia, ila baada ya kufikiria vizuri, na kukumbuka tulikotoka nikaona acha tu nipashe kiporo, isitoshe pia nina mke hivyo haina haja ya kumuonea wivu mwanamke ambaye sio mke wangu. Tumeendelea kuwa pamoja kwa muda wa miezi saba hivi tokea turudiane japo migogoro ya hapa na pale imekuwa ikijitokeza. Hivi karibuni huyu mwanamke ameanza tabia ya kukataa kufanya mapenzi. Mnaweza kupanga siku flani mkutane mfanye yenu lakini siku ikifika analeta visingizio. Hali hii imepelekea niamue kuachana naye japo kiuhalisia naona yeye ndio ameamua kuniacha, maana kama hataki kufanya mapenzi anategemea nini. Kwa hiyo nimekata shauri nimwache tu maana naona kama nimekuwa mtumwa wa mapenzi, nimekuwa mtu wa kumbembeleza kila mara ili tufanye mapenzi ila yeye hata hajali. Tatizo roho inaniuma kweli, akili haifanyi kazi kabisa, najihisi nimepata msongo wa mawazo. Hamu ya kula sina na kila kitu naona hakiendi kabisa. Najitahidi kuchangamka humu ndani ili wife asihisi kama kuna kitu kinanisumbua. Wanaume wenzangu, hivi hali hii ya kuzama kwenye penzi la mzazi mwenzako inakuwaje? Naomba mnishauri namna nzuri ya kusonga na maisha, mwenzenu napata tabu.
Sijui niite udhaifu au kukosa focus, lets make this clear, Nadhani huyo ndio alipaswa kuwa mke wako alafu ulie nae kama Mkeo ndio awe mchepuko wako

sounds weird ila nadhani Hali ilipaswa kuwa hivyo. Getting mad coz of Side chick au co Parent mwenzio ni madness, Kama Dini yako inaruhusu oa wote tu sio kuteseka na kitu you have no right with rather responsibilities kama mazazi mwenza.
 
Eeehh sasa mtu anadhan vitisho vya ivo vinaondoa uhalisia.

Wake za watu tunawapiga mida ya 12 asubuhi mpaka saa nne ...

Au kuanzia saa 7---8 mchana


Au kuanzia 10--12 .jion


Mida ya usiku, sheria ni moja--hamna kumtafuta kwenye simu wala kumtumia meseji .



Papuchi usiku unaipigaaaa, ikiwa tu na kama ameolewa nawale wanaoruhusu mke aende kwenye sherehe alale hukohuko.


Mume akiwa kasafiri ndo kabisaaa unaichezeaa mpaka baaasi




Mtu badala ya kutafuta Suluhisho. Anakalia kutoa vitisho doooohh!!.

Tukiwaambia Jamaan achen pombe , Pombe huribu ini, matokeo yake korodani huanza kupungua ukubwa mdogomdogo, mwisho utengenezaji wa shahawa unapungua, hatimaye Mbooo kusimama mpaka uibembeleze weeeeeeeeeeeeee .,....... Bado hawatuelewi



Khaaaa Hamna kiumbe anaependa Ngono kama mwanamke...

Sasa ndo ivo, Mume keshaisha,, akiingiza mboooo dem anahisi km anashikwa shikwa


Anakutana na Bad Boys [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anapelekewa Motoooo mpaka baaasiiiii
Dah ungekuwa karibu yangu ningekulipia Pepsi wallahi,maana sidhani Kama kuna hata nukta uliyo ibakiza japo ninaamini kuna watu watakuja kukupinga maana binadam ni shida.
 
Subiria baada ya miezi saba atakutafuta Tena.
 
Wakuu mimi nina mke na nina watoto na mke wangu. Pia nina mwanamke mwingine nilizaa naye. Mkipitia nyuzi zangu za nyuma nilishalileta kwenu hili swala, na mlinishauri vizuri tu. Kwa kukumbushia kwa wale ambao hawakusoma uzi wangu, ni kwamba huyu sijui nimuite mchepuko, japo huwa sijisikii vizuri kumwita mchepuko maana ni mama wa mwanangu, nimedumu naye kwa miaka minne. Mwaka jana niligundua anatoka na mwanaume mwingine nikaamua kuachana naye. Nikahamishia mapenzi yote kwa wife. Furaha ndani ya ndoa ikarudi. Wife akawa ni mtu mwenye furaha sana. Miezi minne baada ya kumwacha huyu mzazi mwenzangu alinitafuta. Aliniomba msamaha na kuniomba turudiane. Alinielezea jinsi alivyotendwa na jamaa. Japo nilikuwa mzito kukubali kumrudia nikikumbuka maumivu aliyonisababishia, ila baada ya kufikiria vizuri, na kukumbuka tulikotoka nikaona acha tu nipashe kiporo, isitoshe pia nina mke hivyo haina haja ya kumuonea wivu mwanamke ambaye sio mke wangu. Tumeendelea kuwa pamoja kwa muda wa miezi saba hivi tokea turudiane japo migogoro ya hapa na pale imekuwa ikijitokeza. Hivi karibuni huyu mwanamke ameanza tabia ya kukataa kufanya mapenzi. Mnaweza kupanga siku flani mkutane mfanye yenu lakini siku ikifika analeta visingizio. Hali hii imepelekea niamue kuachana naye japo kiuhalisia naona yeye ndio ameamua kuniacha, maana kama hataki kufanya mapenzi anategemea nini. Kwa hiyo nimekata shauri nimwache tu maana naona kama nimekuwa mtumwa wa mapenzi, nimekuwa mtu wa kumbembeleza kila mara ili tufanye mapenzi ila yeye hata hajali. Tatizo roho inaniuma kweli, akili haifanyi kazi kabisa, najihisi nimepata msongo wa mawazo. Hamu ya kula sina na kila kitu naona hakiendi kabisa. Najitahidi kuchangamka humu ndani ili wife asihisi kama kuna kitu kinanisumbua. Wanaume wenzangu, hivi hali hii ya kuzama kwenye penzi la mzazi mwenzako inakuwaje? Naomba mnishauri namna nzuri ya kusonga na maisha, mwenzenu napata tabu.
Haya yote yasingekuwepo kama tungeendeleza mila zetu za polygamous marriages. Sasa mke wa pili/mdogo anaitwa mchepuko!
 
Dunia hadaa ulimwengu shujaa,imagine unakonda mbele ya mke wako kisa penzi la mchepuko limeingia shubiri!
 
Mchepuko kakushika pabaya mkuu pole ila acha kujiendekeza kuwa busy na familia yako utamsahau
 
Back
Top Bottom