Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Kwahiyo ban tunapewa wanyonge sio...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie ntafungiwa ku comment ktk uzi husika, ila sio Ban ya jumlaa, Nehiiii
Kwa dunia tuliyomo inayo kwenda kasi 360 km/ h. Inabidi wanandoa hivyo vitu mkubaliane kuifanya (ila siyo kufanya kinyume na maumbile). Ama sivyo siku mmoja wenu akateleza akaenda nje na kufanyika vitu ambavyo havipati nyumbani, Haki Mungu utampoteza mme au mke mazimaSiyo busara hasa kwa wanandoa kunyonyana sehemu za siri.
Ngono na busara wapi na wapi. Hilo tendo tu halijakaa kibusara busara, kuna busara gani kwenye kupiga bao?Siyo busara hasa kwa wanandoa kunyonyana sehemu za siri.
Nilimuona yule wa 5 kutoka kushoto ambaye ni wa 2 kutoka kulia..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashangazi watakuua!! Hivi jana hukumuona ktk zile picha?
Haya [emoji23][emoji23]. Ila ukaweke mrejesho kuleMkuu, PM haitii mimba [emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeee!!!Kwahiyo ban tunapewa wanyonge sio...
Et napata Ban kisa kusema nataka mshangazi really
Nyoooo unachokitafuta utakipata wewe ππππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mume wa mtu kwan mie namtaka mke wake au yeye? Hata akitaka aje na mke wake km package sawa tyuu, siriisamu kwangu ni izee,
Kuhusu kuchambwa hata wasikodi fusso kupoteza gharama ya usafiri, nawafata mwenyewe had walipo tena napanda bajaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilijua tyuu, mbwaa wee.Nilimuona yule wa 5 kutoka kushoto ambaye ni wa 2 kutoka kulia..
Alinikosha moyo wangu
Ouaaa wweeeee so poa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashangazi ktk ufalme wa pua bureini.
Watu weuweeeeee!!!!
Onyii hajafanya maujanja kweli mana taqo lake huwa silielewi kabisa na mwenzake Uche Montana. Mataqo yanaburuzika.Onyi ana trako kubwa ila miguu na upaja hola....unamjua Deza the great??
Maybe. Sema kila siku kuna maingizo mapya. Saiv kuna kazi ya kienyeji moja hiyo inaitwa Sarian Martin...she is good. Sema naona hawa youtube wanawekwa pretty girls and handsome men. Sa sijui wengine itakuaje. Kuna Osas Ighodaro, huyu anajua sema movie zake ni za kununua na sio za youtubeWeee kumbe na wewe ni mfatiliaji...
Mawazo yangu yote ile uchenna mbunabo ni ya uche...
Ila niliona movies flan hv kuna ile water mark ya uche tv nahisi tayari ana production
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambiajee ntawafundisha ushangingi unakuaje kuaje..Nyoooo unachokitafuta utakipata wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Utoamini maana ujakutana na mashangingi wewe
Sema niliogopa kumsifia maana niliogopa ban si unajua wanasema wanaogopa kunipoteza mtoto wao ,πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilijua tyuu, mbwaa wee.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] utakufa vibayaa, mbwaa wee.Ouaaa wweeeee so poa...
Huko mii hao 70 siwataki mi nataka mashangaz yangu 5 tuu basiiiii raha mstarehe [emoji23][emoji23][emoji23]
Hata mi naona hawa wawili Mturuki sijui Mchima kahusika. Kuna pisi kama Sarian Martin, Chioma Nwaoha...hawa ni ya kwao Og. Afu kuna kina Sonia Uche na Chinenye Nnebe...hawa hawana shida na mtu....and they are goodOnyii hajafanya maujanja kweli mana taqo lake huwa silielewi kabisa na mwenzake Uche Montana. Mataqo yanaburuzika.
Deza namfahamu ndio nae namkubali.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nakuambiajee ntawafundisha ushangingi unakuaje kuaje..
Yule kaka niko nae na nitatamba nae, wee subiriii.
Nina hakika mkuuMkuu una uhakika hayo uliyosema yanafanyika kwenye hiyo movie, nisije liwa mb bure.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unaweza kusukuma tipper, unaogopa kusifia ile kitu roho yako inapendaaa?Sema niliogopa kumsifia maana niliogopa ban si unajua wanasema wanaogopa kunipoteza mtoto wao ,[emoji23][emoji23][emoji23]
Basi ngoja niitafuteNina hakika mkuu
Sawa mkuu [emoji1][emoji1]Haya [emoji23][emoji23]. Ila ukaweke mrejesho kule