Hivi ni sahihi kwa mke kunyonya sehemu za siri za mume wake?

ileee nayoooo n ibadaaaaa kuoata mtu wa kukunyatuaaaaa Auchinleck na mate kwanza una nyotaa ya hidayaaaa mheshimu sana
 
Ukinyonywaaa uchii ujuee unanyota ya hidaya ukiona hata kushikwaa uchi ushikwi au mwoga nyota ya tausi imekushikilia
 
Mkuu hebu fafanua kidogo tafadhali [emoji1][emoji1]
 
Sehemu za siri zina bacteria maalumu za kulinda uhalisia wake, unaponyonya unawahamishia mdomoni ambapo sio mahali pake. Mdomo utakuwa mwekundu kama mkaa uliokolea, utafikiria ni fungus kumbe ni hao wadudu. Ni tabia mbaya! Acheni hizo!!!
 
La kufanya hapo tafuta mchepuko wa kunyonya halafu usimwambie tena utaona mwenyewe atakufanyia tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…