Hivi ni sahihi kwa mke kunyonya sehemu za siri za mume wake?

Huyo sio mke apige chini, mke sahihi huwa mambo hayataombwa atafanya kwa mapenzi yake mwenyewe, mke gani mpaka umuombe huyo ni mwizi na mpigaji kwa kutumia mgongo wa ndoa
 
Wewe nawe acha hizo! Hayo ni mambo ya ndani, ya faragha, ya LAZIMA!
YAKO OBVIOUS!
 
Kwa hiyo siyo utanyonya papuchi ya mkeo kibibi utatafuta ya kibinti kidogo tena?

Inaonekana umeplan kuwa mzinzi mpaka uzeeni. Siyo mpango mzuri kwa kweli
 
Kwa hiyo siyo utanyonya papuchi ya mkeo kibibi utatafuta ya kibinti kidogo tena?

Inaonekana umeplan kuwa mzinzi mpaka uzeeni. Siyo mpango mzuri kwa kweli
Soma uelewe boss. Usipoelewa ukajibu unaonekana mtu wa mihemko, mbio mbio ilimradi umejibu. Nimekuambia wazee wanaotafuta mabinti hawahitaji kufanya ngono kama vijana, wanahitaji kushikwa, shikwa, kulambwa lambwa, kunyonywa wapige kabao kamoja wakapime kisukari na presha hivyo kama upo na mkeo na umri umeenda ni sawa akikufanyia hayo badala ya kutafuta vibinti.
 
Usahihi wa jambo lolote hutegemea na watu wenyewe. Hakuna jibu la ndio au hapana. Rule of the thumb fanya kile mnachoona kinawapa furaha na kukuza mahusiano yenu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…