Hivi ni sahihi kwa mke kunyonya sehemu za siri za mume wake?

Siyo sahihi, kama mume anataka kufika kileleni anaweza kufanya sex kawaida, kunyonya ni mambo ya upinde wameyaleta huku Afrika.
#Wanawake wenzangu msikubali kuchezea "microphone"
 
Usiponyonya watakunyonyea tu, hata mbuzi ananyonya na wanyama wengine wote lazima wabusu kwa ulimi, we jifanye mstaarabu tu ukidhani mkeo baada ya pete na cheti cha kasisi(kwa idhini ya mkoloni aliyetuletea toka Ulaya) kaondoka utu wake na hisia zimebadilika.

Ndo maana mnakuja jf kulaani wamama kumbe mmepunguza huduma, wakikutana na vijana huko barabarani wanakumbushwa ulichokuwa unampa akiwa chuo na things will never be the same again.
 
Ukienda kinyume na nature tu lazima upate matokeo yasiyotarajiwa!
 
Mi naona ni sawa ikiwa hakuna magonjwa ya kuambukizana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…