Hivi ni sahihi kwa mke kunyonya sehemu za siri za mume wake?

kunyonyana kuna raha lakini siku mtakapopata HPV ndio mtajua utamu wake na kuacha kunyonyana Kudadadeki zenu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwanamke alikuwa ana raise her market value, baada ya kupata anacho hitaji anaona haina haja ya ku put efforts tena
 
Afanye kwa mapenzi yake na si kwa kulazimisha...Mapenzi ni ubunifu.
 
Ukiona mtu mwenye mdomo mwekundu kama kaa la moto ujue anafanya hiyo kazi. Unahamisha wadudu wanaolinda hiyo sehemu hadi mdomoni, na hapo sio sehemu yake, ndio maana wekundu unashamiri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…