Hivi ni sahihi kwa mke kunyonya sehemu za siri za mume wake?

[emoji120][emoji120]

Asante sana mkuu kwa kuwasilisha vema hoja yako. Barikiwa.
 
Ila za kipindi hiki wanazingua sana si nzuri kama zile za zamani. Nadhan labda sababu ya ujio wa waigizaji wapya waliokosa vionjo kama wale wa zamani.
Zipo mkuu.

Kuna waigizaji wapya wakina UCHE MONTANA, RAY EMODI, MAURICE SAM n.k, ni balaa! Wako vizuri mno [emoji91]
 
ni kweli mkuu wanawake walio kwenye ndoa wamekuwa wakijirahisha,
na mbaya wengi wao ni walevi na ulokole wao wa kinafki!
ugomvi kidogo tu atajinunisha na kujidai ana stresss ili akaliwe nje!
Hatari sana mkuu [emoji22]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…