Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,822
Jamani katika pitapita zangu nilikutana na mijadala huu watu wakizungumza .......
Hivi ikitikokea kijana wa kiume ukawa na mahusiano na mwanamke aliyekuzidi umri au mwanamke ambaye kiumri ni kama mnaringana tuu vilee ?
Hivi ni sahihi Kijana mwanamke aina hii uwe una muhonga maana kuna watu wanasema kijana kuishi na mwanamke aliyekuzidi umri halafu ukawa wewe ndo unamuhonga ni ujinga tuu bora yeye awe anakuhonga
Hivi ikitikokea kijana wa kiume ukawa na mahusiano na mwanamke aliyekuzidi umri au mwanamke ambaye kiumri ni kama mnaringana tuu vilee ?
Hivi ni sahihi Kijana mwanamke aina hii uwe una muhonga maana kuna watu wanasema kijana kuishi na mwanamke aliyekuzidi umri halafu ukawa wewe ndo unamuhonga ni ujinga tuu bora yeye awe anakuhonga