DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,382
- 29,639
Inategemea ntu na ntu.
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwanaume ni kama bomba, kiwe kidumu, ndo, pipa ni kujaza maji tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vibinti pia vya muhim na ni vitam sana ila kuchanganya radha pia ni muhimu,Kuna sababu zinazofanya kijana Mdogo kuibuka na jimama wakati vibinti vikalii vipo.
Sasa hapo ndo watazamaji wanapojiuliza iweje dogo janja awe na jimama huku yy ndo mfadhili
Wakati jimama ndo linapaswa lilinde penzi kwa kumlea dogo janja.
Sawa na sugardady awe na kibinti kikalii eti kiwe chenyewe ndo kinalilea zee ni lazima zee lipalilie penzi hapo hakuna maswali mapenzi ni baada ya raha kujitosheleza.
Sasa ww kwake unakuwa umefata nn kama vibinti kibaoHamna cha kutegemea huo ni ulofa na upumbavu yaani mtaani kuna vibinti kibao vitoto vidogo vimetulia ETI ,
Unaenda kuangaika na magubegube yaani ujana wao wacheze na nani uzee wao wamalizie kwako wewe huo ni upumbavu NA ulofaa
Hapo chacha... lol
Mbona kwenye kuwaheshimu huwa hamuangalii umri mnataka mwanamke awaheshimu tu haijalishi mkubwa au mdogo? Mwanaume fanya majukumu yako.Jamani katika pitapita zangu nilikutana na mijadala huu watu wakizungumza .......
Hivi ikitikokea kijana wa kiume ukawa na mahusiano na mwanamke aliyekuzidi umri au mwanamke ambaye kiumri ni kama mnaringana tuu vilee ?
Hivi ni sahihi Kijana mwanamke aina hii uwe una muhonga maana kuna watu wanasema kijana kuishi na mwanamke aliyekuzidi umri halafu ukawa wewe ndo unamuhonga ni ujinga tuu bora yeye awe anakuhonga
Ni kweli ndo maana kila upande uliogundua makinikia ni Mali unatetea upande wake,Vibinti pia vya muhim na ni vitam sana ila kuchanganya radha pia ni muhimu,
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani katika pitapita zangu nilikutana na mijadala huu watu wakizungumza .......
Hivi ikitikokea kijana wa kiume ukawa na mahusiano na mwanamke aliyekuzidi umri au mwanamke ambaye kiumri ni kama mnaringana tuu vilee ?
Hivi ni sahihi Kijana mwanamke aina hii uwe una muhonga maana kuna watu wanasema kijana kuishi na mwanamke aliyekuzidi umri halafu ukawa wewe ndo unamuhonga ni ujinga tuu bora yeye awe anakuhongaWe aseee
Mapenzi yasivyotabirika siku hizi ndugu yangu ukipata hela za mwanamke we kula tu ...manake ukisema ujifanye unampa kila kitu mwanamke eti kisa we mwanaume unshangaa dharau zinaanza na unatafutiwa mwenzako so ukipata nafasi ya kuwa marioo we kuwa tu marioo wanawake wa zamani walikuwa wanajua maana yakugharamikiwa..siku hz unampa kila kitu bado ana kudharau,kibri,cheche
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ndo maana kila upande uliogundua makinikia ni Mali unatetea upande wake,
Vibinti ni vitamu haswaa, ndo maana unavipa vishawishi vikubali kutumia na sugardady na masugarmamy nayo kazi yao ni kulea penzi la madogo janja maana madogo hawachoki mwendo mwanzo ,kati na mwisho utasema gogo na mjusi