Hamna cha kutegemea huo ni ulofa na upumbavu yaani mtaani kuna vibinti kibao vitoto vidogo vimetulia ETI ,Mkuu inategemeana mkuu....
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Tell them.Kuhonga ndo uanaume wenyewe, vijana mmekuwa mayai mayai hamtaki kutoa pesa mnataka nyie ndo mpewe pesa, vaeni sketi wanaume halisi tutawahonga hata nyie.
Hahahahahahahaha tisha sanaaaaaa.Mwanaume ni kama bomba, kiwe kidumu, ndo, pipa ni kujaza maji tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyinyi wenyewe mnayatafuta hayo magube gube na wivu juuHamna cha kutegemea huo ni ulofa na upumbavu yaani mtaani kuna vibinti kibao vitoto vidogo vimetulia ETI ,
Unaenda kuangaika na magubegube yaani ujana wao wacheze na nani uzee wao wamalizie kwako wewe huo ni upumbavu NA ulofaa