Hivi ni sahihi mwanaume kumuhonga mwanamke aliyemzidi umri au wako sawa kiumri

Inategemea ntu na ntu.

Sent from my Priceless H40-D00 using JamiiForums mobile app
 
Inategemea uhitaji wako wa papuchi kwa muda huo kuna wengine wamezidi umri lakini watam unapewa hadi ule mtandao ambao 3g haishik vijijini unazama mwenyew mfukoni na kuzawadia ulichonacho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vibinti pia vya muhim na ni vitam sana ila kuchanganya radha pia ni muhimu,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama kwenye kula papuchi hujiulizi/hauulizi kama ni sahihi ama si sahihi iweje ili la kuhonga!?
Umri ni namba tu,mengine yote yanabaki kama yalivyo.
 
Sijui tofauti kati ya kusaidiana kawaida na kuhonga mdau mmoja aniisaidie ili nijibu huu uzi.
 
Mbona kwenye kuwaheshimu huwa hamuangalii umri mnataka mwanamke awaheshimu tu haijalishi mkubwa au mdogo? Mwanaume fanya majukumu yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapenzi yasivyotabirika siku hizi ndugu yangu ukipata hela za mwanamke we kula tu ...manake ukisema ujifanye unampa kila kitu mwanamke eti kisa we mwanaume unshangaa dharau zinaanza na unatafutiwa mwenzako so ukipata nafasi ya kuwa marioo we kuwa tu marioo wanawake wa zamani walikuwa wanajua maana yakugharamikiwa..siku hz unampa kila kitu bado ana kudharau,kibri,cheche

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vibinti pia vya muhim na ni vitam sana ila kuchanganya radha pia ni muhimu,

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ndo maana kila upande uliogundua makinikia ni Mali unatetea upande wake,

Vibinti ni vitamu haswaa, ndo maana unavipa vishawishi vikubali kutumia na sugardady na masugarmamy nayo kazi yao ni kulea penzi la madogo janja maana madogo hawachoki mwendo mwanzo ,kati na mwisho utasema gogo na mjusi
 
 
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…