Hivi ni sawa marais wote kutokea upande mmoja?

mbona nimeshikwa na simanzi baada ya kusoma huu uzi
 
Kinachoendelea hivi Sasa ndio kipimo changu. Kuna mtu aliwahi sema Kikwete nafasi ambayo ingemstahili ni kuwa waziri wa michezo na utamaduni. Unakumbuka huyo!?
mimi nataka twende specifically,kipimo chako ni kipi?
 
Warioba anauma na kufumba macho. Kama amekubali juu ya majimbo (states) marekani kuwa na bendera zake kwanini asimalizie kuwa kuna sheria tofauti kati ya jimbo mpaka jimbo. Kuna sheria ambayo jambo ukilifanya jimbo moja si kosa lakini jimbo jingine ni kosa. Kama yeye anaumizwa na sheria ayaeleze na hayo pia.
 
Hujui chochote kati ya uliyoandika. Lakini usijali. Wajuvi wa mambo wapo watakusaidia.
 
Tafuta maisha yako mzee ili ujipate kwaajili ya familia yako hao walitafuta hizo nafasi kwaajili ya familia zao,fanyakazi zako hii nchi haina mwenyewe ati!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…