Hivi ni sawa wife material kuwa fundi kiasi hiki?

Kwa wachakataji watanielewa, kuna pigo unazipata kwa malaya tu ila kwa wife sio rahisi. Sasa yeye kawazidi wote hao.
Inategemea ame subscribe wapi. Kuna ma group yenye makungwi wazoefu kibao huko Telegram, WhatsApp, nk wanafundishana mambo mazito..

Cheki simu yake unaweza kugundua anapo download maujanja ili tu akukate kiu 😁
 
Ingia googtle search "jinsi ya kumpagawisha mwanamke mnapokuwa kwenye sita kwa sita" nazani utakuwa umeelewa maana yangu ni ipi?
 
Jichanganye likukute jambo
 
Katika hao watoto wengi uliolwisha chakata, kuna hata mmoja ulimfundisha kuvaa shanga au mautundu ya kunyanduana? Ukiona mwanamke kaja na vitu vipya kwenye kunyanduana haimaanishi kanyanduliwa huko akafundishwa. Hakuna mwanamme mwenye muda wa kumfunza mwanamke nini cha kufanya kitandani. Uwa wanajiongeza na kujaribu tuu vitu vipya, ama kutoka kwenye story zao au kwenye mind au hata mitandaoni. Dunia imepanuka, huko insta sikuhz kuna makungwi kama wote na magroup ya wasap wanafungua... Be a man. Hii comment nimeiandika nikiwa na usingizi. Mtanisamehe kama kunamakosa ya kiuandishi.
 
Mbona mambo rahisi tu we fanya mambo ya msingi, ukiona dereva mzuri na anaijua barabara basi jua ni mzoefu wa magari pia mzoefu wa hiyo kazi yake na pia ana muda mrefu kazini
 
Hakuna mke hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…